Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

Mkuu kuna Uzi nimefungua unohusu wadada wanaohitaji kubeba Mimba,
Ila sasa watu wa aina yako sijui tutasaidiana vipi, maana tatizo lako ni gumu na kubwa kidogo kwangu, labda kama watatokea wanaoliweza pale.

Kwa wadada wanaohitaji watoto au mbegu na kwa wanaume tunaotaka kutoa mbegu bure tukutane hapa
 
Sio kazi yangu kuhukumu ila sioni kama kuna faida hapa duniani kuwa na kiumbe hai kama wewe, mwanaume rijali wa kiafrika hawezi tamani upuuzi huu unaoutamani wewe.

Ningekuwa mods ningeondoa hii Thread, JF inaanzaje kutunzwa kwa nyuzi kama hizi.
wanasemaga wivu hauna maendeleo...
jistukie mtoto wa kiume
 
Ebu tusikitike kidogo tetetetetete[emoji21] [emoji20] [emoji20] [emoji19]
 
Tunaomba yesu aludi tu maana tunako elekea cko
 
kwahiyo unatamani kugongwa pia au unataka uipate kwa njia gani
 
😳 😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…