Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.

pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.


Martin Kadinda bwana, hivi una akili gani wewe? Usijihusishe sana na Wema na mashoga zake, zile bangi anazovuta zinamuharibu sana akili bila yeye kujijuwa.
 
NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.

pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.

***** nimechelewa ku comment..

Ila wewe Ulaaniwe milele yote.. Ushaanza kupakuliwa bila shaka
 
***** nimechelewa ku comment..

Ila wewe Ulaaniwe milele yote.. Ushaanza kupakuliwa bila shaka
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] yani wewe umenifanya nicheke bila kupenda
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nacheka kama mazuri vile
 
Back
Top Bottom