Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.
pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.
NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.
pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.
makubwa haya
Nina wasiwasi na uanaume wako
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Jipe tu uhakika, huyo ni PUNGA, ndio basi tena.
snake don't eat flour(nyoka halambi unga)
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] yani wewe umenifanya nicheke bila kupenda***** nimechelewa ku comment..
Ila wewe Ulaaniwe milele yote.. Ushaanza kupakuliwa bila shaka
Umefukua kaburi...***** nimechelewa ku comment..
Ila wewe Ulaaniwe milele yote.. Ushaanza kupakuliwa bila shaka
yani wewe umenifanya nicheke bila kupenda
Umefukua kaburi...