Jini Kisiranii
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 1,912
- 2,254
gawa washeli mkuu itaingia tu. maana huwa hawaintwi kwenye uji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeanza kuota matiti, taratibu naanza kujichukia mwenyeweNImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.
pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.
Umeshachagua Mimba utaingiziwa vp,NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.
pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.
Jf kuna maajabu mengi sijayaona huwezi amini huu uzi ndio nauona leo .NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.
pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.
Kwahiyo alitombwa wapi?atakuwa ameshazaa tayarKwa
Kw
Kwahiyo alitombwa wapi?
Hakunaga mwanaume mwenye mawazo Kama ya huyu chocolateAaahhh embu subiri kwanza , Yaan haya maandishi umeyanukuu sehemu, au ni maneno yanayotoka moyoni mwako na ukiwa na Akili ?au ni akili za asubuh kwa Tanzania ,na Akili za masaa ya Usiku nchi za watu?.
"Mwanamke Utazaa kwa Uchungu , Mwanamme utakula kwa jasho lako". Nadhan ungeendelea kupigana ktk jukumu lako hili , nasio kuingilia majukumu ya viumbe wengine .
Kama wanamme tena wakiafrika, tumeanza kua na mawazo haya , basi Yesu yu Karibu karudi.