Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

Naona tangazo lako linajieleza wew ni mbwa mla mbwa hahahaha yajayo yanafurahisha
 
Kabla ya kubeba mimba kuna kupigwa dudu...upo tayari??
Anza kufanya majaribio.
 
Hivi humu JF kuna homosexuals kumbe?!

Aisee.....namuonea huruma sana baba yako kama yupo hai au hata kama hauishi nae but namuonea huruma kwa kuamini ana kidume kumbe amekula hasara.
 
HILI NI TATIZO LA KIROHO
HUJACHELEWA NA LINATIBIKA TIBA BORA NI YESU mkiri naye Atakuweka HURU
 
NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.

pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.
Nimeanza kuota matiti, taratibu naanza kujichukia mwenyewe

Huu ndio wakati muafaka wa kubeba mimba
 
NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.

pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.
Umeshachagua Mimba utaingiziwa vp,
 
J
NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.

pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.
Jf kuna maajabu mengi sijayaona huwezi amini huu uzi ndio nauona leo .
 
Kw

Kwahiyo alitombwa wapi?
20220306_082323.jpg
 
Aaahhh embu subiri kwanza , Yaan haya maandishi umeyanukuu sehemu, au ni maneno yanayotoka moyoni mwako na ukiwa na Akili ?au ni akili za asubuh kwa Tanzania ,na Akili za masaa ya Usiku nchi za watu?.

"Mwanamke Utazaa kwa Uchungu , Mwanamme utakula kwa jasho lako". Nadhan ungeendelea kupigana ktk jukumu lako hili , nasio kuingilia majukumu ya viumbe wengine .

Kama wanamme tena wakiafrika, tumeanza kua na mawazo haya , basi Yesu yu Karibu karudi.
Hakunaga mwanaume mwenye mawazo Kama ya huyu chocolate

Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom