Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana nini...... bado una nafasi please usikate tamaaKuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will not failed
Nimesoma stori yako naona ni hali ya kawaida tu huna haja ya kupanik. Kama tamu ulishapewa basi inatosha. Mimi nilishawahi kuliwa milioni kadhaa na bado nilisalitiwa sana tu. Watu wengi tushapigwa na hawa watoto wa mjini. Ili uwe salama amua kuachana nae kabisa. Ukiendelea nae atakumaliza hata hela ya kujikimu utakosa. Atakuharibia maisha. Mshahara wa 2m ni mdogo kwa maisha ya leo kama hutatumia akili vizuri. Ila pia ni mkubwa ukijituliza. USIMWONEE HURUMA MWANAMKE KAMA SIO MKEO.Oya Mwanenu mapenzi yanataka Kunitoa Roho
Daaah wanangu, Mwenzenu niko Hoi hapa Nilipo! Sina Usingizi, wala Siwezi hata Kula. Nimekuwa Fara Kinyama Kisa Mapenzi. Ngoja Niwape Hii stori kwa Ufupi. Kuna Dem mmoja, nilikutana Naye Supermarket, (ilikuwa Mwezi wa tatu 2022) nilimpenda na kumfungukia Hisia zangu, akawa Amenipa Namba...www.jamiiforums.com
Oya Mwanenu mapenzi yanataka Kunitoa Roho.
Nipeni msaada kwenyeHili...
Mwenzenu pia nina hali ngumu.
Kama haupo Hospitalini wala jela basi tatizo lako linatatulika. Kitu muhimu ni afya njema na uhuru. Achana na mawazo ya kishetani. Mshukuru Mungu kwa pumzi na huo uhuru. Ikiwa ngumu kwako muombe Mungu akuonyeshe mtu wa kumsimulia kinachokusibu ili akushauri na kukusaidia.Kuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will not failed
Sahihi kabisa mkuuwashirikishe na ndugu zako kuna namna watakupa msaada.
Naomba tuwasiliane[emoji1545]Kuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will not failed
Umeandika kitu kikubwa sana ambacho wengi wetu hatukijui, wanasema huwezi kupona kwenye mazingira yaliyokupa ugonjwa, kwa maana hiyo ukitoka kwenye mazingira hayo basi utajikuta unaimarika na hata rizki usiilazimishe ije hapo hapo ulipo, toka nenda sehemu zingine huko ndiko kwenye rizki yako.Ukiona mazingira uliyopo yanakupa msongo wa mawazo; safiri utoke nje ya mji ukutane na watu wengine, kufanya hivyo unaimarisha afya ya akili.
Hutakufa bali utaishi nawe uyaone mafanikio ya mipango yako kisha uushuhudie ukuu wa Bwana. Usikate tamaa.Kuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will not failed
washirikishe na ndugu zako kuna namna watakupa msaada.
Uache mawazo ya kijinga na uache ubinafsi. Unajifikiria wewe tu b.w.e.g.e wewe! Maumivu utakayoachia wenzio unayachukulia poa? Yani ningekujua ningekushika nikutandike sana.Kuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will not failed