Mbepo yamba
JF-Expert Member
- Aug 5, 2012
- 1,262
- 1,773
Mkuu ni kama umeniwahi. Usiku wa leo nimemuaga mke wangu kuwa I'm more likely to die as i don't see the essence of life anymore.Kuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will not failed