Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Failures didn't know how close they were to success when they gave up.
Usikate tamaa mkuu hayo unayopitia muda huu yatapita tu.
Usikate tamaa mkuu hayo unayopitia muda huu yatapita tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini umefikia hatua hiyoKuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will not failed
Ni kweli kabisa yani unajiona fulani anapesa inauma.Mitandao pia inachangia sana, vijana wengi tunapenda kulinganisha maisha yetu na watu wa mitandao, hapo lazima upate stress mana unajilinganisha na maigizo
That sentence indicates he has had several attempts which failed and he hopes this one will not fail! May God Almighty interveneI don't wish to see 2023 hope this one will not failed! (Fail)
Zingatieni hiyo tamati yake! Imebeba ujumbe muhimu mno na pengine kufikia sasa hatunaye!
Msimbeze watu wanapitia magumu mengi na hawana msaada
[emoji1540][emoji1540] The woman in the picture with a smile is Salwa Hussein, the woman without a heart in her body, a rare case in the world as she carries her artificial heart in her bag. The British newspaper, ‘Daily Mail’ reported that Salwa, aged 39 is the mother of 2 children. The bag containing her heart is always with her and has a device with 2 batteries weighing 6.8kg. It is an electric monitor and a pump. The batteries help push the air into the plastic bag into the patient’s chest through attached tubes for blood circulation... seeing that smile on her face makes me wonder, am I weak in faith? Have I shown enough gratitude to God? Do I really have a problem? Have we ever stopped to count the countless mercies bestowed upon us by our creator? Can We praise Him enough? He indeed is most compassionate, most merciful, most loving, most caring.... let’s thank Him at least for good health and pray that we pass every exam He set for us in many ways. Let us sincerely thank God God I thank you for your mercies towards me[emoji1545]That sentence indicates he has had several attempts which failed and he hopes this one will not fail! May God Almighty intervene
Jiulize ndoto ulizo zipanga nan atazitimiza kila mtu anapitia changamoto furah kwa asilimia hata moja ya mafanikioKuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will not failed
Kuolewa au kuoa kunasaidia sana...unapata mtu mnashare nae hard tyms..nawashauri muolewe na kuoa.
Kumbe wewe unazuga na hujaamua kufa ndio maana unashindwa kujirusha darajani au kunywa sumu..Kuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will not failed
'Mjue Sana MUNGU ili uwe na amani ndipo mema yatakapokujia'Kuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will not failed
Amina..mkuuHongera sana kwa ushauri mzuri, pia endelea kumtunza Shemeji ipasavyo Mama la Mama Kalpana.
Wale wanaochukulia ndoa ni uwanja wa mapambano au wale waliokariri ndoa zote ni hell hawawezi kunielewa hapa..ila the first comforter kwangu ni Mungu wa pili ni husband wangu..kuna wkt hata ndugu huwa wanakukimbia upitiapo magumu ila ukiwa na familia imara wao ni wafiriji..Nahisi kama una point fulani ingawa wengi watabeza
Ukaweza ukaona pesa ndo kila kitu hadi unapoikosa unaona maisha hayana thamani..lakini nikwambie ukweli afya njema ni kila kituKuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will not failed