Eleminator
JF-Expert Member
- Sep 29, 2022
- 597
- 975
Sasa mkuu, kila unachogusa kina fail ndio sababu ya kuwa depressed hivi?. Umegusa mara ngapi?. Mbona kuna waliogusa mpaka mara elfu kumi na bado hawakuwa na mawazo kama haya?..Don't give up, gusa vitu strategically huku ukimtanguliza Mungu mbele mambo yatakaa sawa.Kuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will not failed
Mkuu ondoa hizo fikra akilini mwako, hapa nilipo ninapitia Hali ngumu sana Karibu Kila angle kiafya na kiuchumi pia. Tangu January hadi sasa mwaka unaisha Bado nateseka & at the same time I don't see the light at the end of the tunnel lakini Bado nasonga mbele. Mawazo hayo sometimes hunijia na natamani sana kuyafanyia kazi lakini naweza kusema MUNGU kama kaendelea kuweka hai jua ana kusudi lake, may be He's preparing the best version of yourself Ili mambo yatakapokuja kupinduka uwe mtu Bora zaidi. Hakuna mtu ambae a hundred percent mambo yake yanaenda tu, may be kuna watu wana nyakati ngumu kuliko hata wewe lakini Bado Wana tumaini ndani Yao.Kuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will not failed
Thanks God bado uko hai unapumua na huna shida ya kiafya[emoji1545] nimeku pmYou may not start a conversation with the following recipients: Mshana Jr. ujumbe ninao pata
Wewe nae bana.Kuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will not failed
Pole sana Mkuu, jaribu kuhama eneo ulilopo, kama umejenga hama kwa muda. Pia jaribu kubadili mfumo wa maisha.Acha tu mkuu. Mimi ni mkristo kwa kuzaliwa ila umefika wakati siuoni uwepo wa huyu Mungu maana kila njia kwangu imefunga na najikuta kwenye series ya matatizo mno tena makubwa. Niko engulfed tena kwa kingo ngumu sana. I just see the worst part of the world tena kwa muda mrefu sana. Zaidi ya miaka kumi sasa.
Usikate tamaaa,vuta subira kidogo,amini Kuna kesho njema.You may not start a conversation with the following recipients: Mshana Jr. ujumbe ninao pata
Hongera sana kwa ushauri mzuri, pia endelea kumtunza Shemeji ipasavyo Mama la Mama Kalpana.Kuolewa au kuoa kunasaidia sana...unapata mtu mnashare nae hard tyms..nawashauri muolewe na kuoa.
Umeongea kitu cha maana sanaKuolewa au kuoa kunasaidia sana...unapata mtu mnashare nae hard tyms..nawashauri muolewe na kuoa.
Soma historia za akina Thomas Edison. Mtu anafanya jaribio mara 10,000 na hakati tamaa hadi anachokitaka kipatikane. Ikibidi fanya mabadiliko. Anza na kubadili kufikiri kwako,ikiwezekana hama eneo,n.k. Fanya mabadiliko chanya kwenye Kila eneo la maisha yako.Kuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will not failed