Natamani kuifanya familia yangu kuwa kama ya Bakhresa na ya akina Mo Dewji, nipeni muongozo

Ni vizuri basi itisha kikao cha familia na uwadokeze nia yako halafu uone.
Ndio maana nimekuja kwenu mnipe mbinu na mipango kipi nianze nacho na kipi cha kufanya ili nikiitisha kikao niwe na mipango kamili ya kuwaelezea sio niende kwenye kikao na blah blah
 
Kila mtu duniani ana msukumo wa ndani unaochagizwa na msukumo wa nje huwezi kuignore mentors
Msukumo wa nje ndiyo unaokufanya ujifananishe na wengine, lakini uhalisia haiwezekani kufanana.
Huu ni mtazamo hasi ya msukumo wa nje.
Ila Msukumo wa nje ukitumika vizuri unafaa sana.
 
Msukumo wa nje ndiyo unaokufanya ujifananishe na wengine, lakini uhalisia haiwezekani kufanana.
Huu ni mtazamo hasi ya msukumo wa nje.
Ila Msukumo wa nje ukitumika vizuri unafaa sana.
Itakuwa hujanielewa soma vizuri unielewe ninachomaanisha
 
Na hata akiingia kwenye huo ukurugenzi ajipigie tenda na dili za juu apate mtaji aende zake
 
Elimu ndio imenisaidia kujua thamani ya kilichopo na kung'amua uwezo wa kuweza kuendeleza nimekuja kwenu kupata mawazo zaidi kwani elimu haina mwisho nipe muongozo mkuu
Upande wa mashamba yageuze kuwa 'ranch' ya mifugo, nyumba baadhi geuza kuwa viwanda vidogo.
 
Kwani wewe unafikiri familia ya Bakhresa IKOJE?

Any way.Kimsingi ili kutengeneza Familia ya Kitajiri kwanza lazima mmoja wenu awe mbeba maono,Pili lazima muwe na umoja,Tatu Mpendane na kuheshimiana.

Mkishamaliza Hatua hiyo Muangalie Hizo Asset mnaweza kufanya nazo nini na wapi.Kisha kwa ujasiri muanze hatua kwa hatua.Cha Muhimu msisahau Umoja ni Nguvu.
 
Ahsante mkuu nimeyapokea mawazo yako nitayaweka kwenye vitendo
 
Na hii inasaidia nini?
 
Mimi mtoto kurithi mali zangu is not automatic, lazima aonyeshe uwezo (prove) wa kumiliki , kuheshimu na kuendeleza, kama mjinga chapombe full madawa atapata pesa ya kula tuu na matibabu, hizo zitaenda kwa wenye shida na mahitaji hata kama sio blood yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…