Natamani kuifanya familia yangu kuwa kama ya Bakhresa na ya akina Mo Dewji, nipeni muongozo

Natamani kuifanya familia yangu kuwa kama ya Bakhresa na ya akina Mo Dewji, nipeni muongozo

Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna.

Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla.

Wakuu, kwa heshima na taadhima naomba mnipe muongozo na mawazo kipi nifanye ili kufikia malengo yangu ya kufaifanya familia iwe kama ya Bakhresa.

Natanguliza shukrani.
Sisi pia tunatamani tuwe kama hao hao uliowataja sasa ukituomba sisi ushauri wakati hatuishi na hao watu na hatujawafikia ni kama unatutukana boss..
 
Jibu kwanza maswali yafuatayo:-
1. Wazazi wako bado wapo hai?
2. Baba yako alikua ana wake wangapi?
3. Mmezaliwa wangapi na wewe ni mtoto wa ngapi?
4. Ndugu zako mlio zaliwa nao wana ajira ama wana namna wanajiingizia kioato?
5. Hali ya mahusiano ndani ya familia yenu yapoje?
6. Umewahi kumshirikisha mzazi wako kama unatamani kuendeleza mashamba, kuboresha majengo ama kuendeleza viwanja?
1. Hapana walishafariki
2. 5 aliopata nao watoto
3. 15, ni mtoto wa pili kutoka mwisho
4. Hapana
5. Somehow ipo shwari masikilizano yapo
6. Ndio na kikao tumekaa
 
Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna.

Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla.

Wakuu, kwa heshima na taadhima naomba mnipe muongozo na mawazo kipi nifanye ili kufikia malengo yangu ya kufaifanya familia iwe kama ya Bakhresa.

Natanguliza shukrani.

Ishu Inaanza kwenye mentality. Wa Africa wanategea sana kusoma waajiriwe ndo watoboe maisha sasa unapo leta ixhu ya family wealth au generation wealth ndugu hawatakuelewa watatak usome uajiriwe uwasaidie. Hawa amini kutoboa kwa kufanya biashara.

Lengo ni kutoka kweny financial struggle to financial stable to financial freedom

Ukianza n miradi kama real esate au investment inayo toa service kam shule, afya Iitakupa urahis kwenye usimamizi

Ukiwa na mentality hio, Right people , Information, sacrifice na support utafika hko
 
Back
Top Bottom