Natamani kujiunga Chama la Kataa Ndoa ila Roho bado inasita-sita

Natamani kujiunga Chama la Kataa Ndoa ila Roho bado inasita-sita

Karibu katika chama Cha kataa ndoa, chama chenye kupambania na kulinda haki na mali za mwanaume.

raisi wa chama chetu ni Liverpool VPN, katibu mwenezi ni Mimi Intelligent businessman, mwanasheria wa chama ni Xi Jinping, makamu mwenyekiti ni Natafuta Ajira.

Baraza la chama min -me, Loading failed.

KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
KATAA NDOA MKATABA WA KITAPELI
th (8) (1).jpeg
 
Natamani kujiunga hili Chama la Wana ila roho bado inasita-sita.

Nimejifungia sehemu bado natafakari
Mimi ndoa naikata ila mademu sitaacha kuzaa nao au kuishi nao maana ni juzi tu nmeona nyumba ikiuzwa Kwa amri ya mahakama bei ya kitupwa kisa wanaondoa walioacha kuishi pamoja miaka 20 iliyopita
 
Natamani kujiunga hili Chama la Wana ila roho bado inasita-sita.

Nimejifungia sehemu bado natafakari
Achana ni chama uchwara ukiona unajiunga huko ama upo upungufu kichwani juu ama chini,yote ya yote ni kutokana na misongo na mizongo,hivyo jiunge huku kulipo na uwezo wa kusuluhisha mizongo na misongo inayoletwa na wapuuzi wachache.Jiunge Chama bora CDM.Tiba ya kweli ya uozo wawalafi walao kwa urefu na kwa kurefusha kamba.Kuwa sehemu ya mabadiliko kwako na kwa taifa.
 
Back
Top Bottom