OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Natamani kujiunga hili Chama la Wana ila roho bado inasita-sita.
Nimejifungia sehemu bado natafakari
Nimejifungia sehemu bado natafakari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja ya dalili za limbwata mkuu shtuka.Natamani kujiunga hili Chama la Wana ila roho bado inasita-sita.
Nimejifungia sehemu bado natafakari
Namlia timing tu ,kabla sijarambaratisha hiko chama na nataka siku niombe Mdahalo na kataa Ndoa tuelimishane kwa hoja maana naona wanaleta utoto na upuuzi.Mwenyekiti Intelligent businessman mwanachama huyu tayari
Karibu ewe gun man wa kimatumbi, mimi Kama katibu mwenezi wa kataa ndoa nakubali mdahalo unao utaka.Namlia timing tu ,kabla sijarambaratisha hiko chama na nataka siku niombe Mdahalo na kataa Ndoa tuelimishane kwa hoja maana naona wanaleta utoto na upuuzi.
Maalim waambie tu kuwa TRUMP kashasitisha misaada ya ARV na Condoms.Namlia timing tu ,kabla sijarambaratisha hiko chama na nataka siku niombe Mdahalo na kataa Ndoa tuelimishane kwa hoja maana naona wanaleta utoto na upuuzi.
Asante Sana, nimesha fika mimi Kama mkombozi nita sema ukweli.Mwenyekiti Intelligent businessman mwanachama huyu tayari
Hauna hoja za kumtisha mtu yoyote. Utaishia kuwaita mashoga tu basi, hoja ambayo ni ya kipumbavuNamlia timing tu ,kabla sijarambaratisha hiko chama na nataka siku niombe Mdahalo na kataa Ndoa tuelimishane kwa hoja maana naona wanaleta utoto na upuuzi.
Mimi ndoa naikata ila mademu sitaacha kuzaa nao au kuishi nao maana ni juzi tu nmeona nyumba ikiuzwa Kwa amri ya mahakama bei ya kitupwa kisa wanaondoa walioacha kuishi pamoja miaka 20 iliyopitaNatamani kujiunga hili Chama la Wana ila roho bado inasita-sita.
Nimejifungia sehemu bado natafakari
Achana ni chama uchwara ukiona unajiunga huko ama upo upungufu kichwani juu ama chini,yote ya yote ni kutokana na misongo na mizongo,hivyo jiunge huku kulipo na uwezo wa kusuluhisha mizongo na misongo inayoletwa na wapuuzi wachache.Jiunge Chama bora CDM.Tiba ya kweli ya uozo wawalafi walao kwa urefu na kwa kurefusha kamba.Kuwa sehemu ya mabadiliko kwako na kwa taifa.Natamani kujiunga hili Chama la Wana ila roho bado inasita-sita.
Nimejifungia sehemu bado natafakari