Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Nilie yaniniKo uta Lia kimya kimya😆😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilie yaniniKo uta Lia kimya kimya😆😂
Inaonekana umepigwa tukioKivipi yaani
Hapana sijaoaKwanini wakati umeoa tayari?
Hakuna tukio. Si kutafakari tuInaonekana umepigwa tukio
mbona kuna uzi ulisema unaficha simu sijui waifu asiioneHapana sijaoa
OkHakuna tukio. Si kutafakari tu
Haitofikia hukoKuwa nyumbani pana Waka 😆
View attachment 3228872
The internet never forgets, sisi wenye photographic memory ata usome sehemu juu juu kwa kurashia utakumbuka tuu ndo mana I.D za malayer nazijua karibia zote na kuna moja imeshamiri siku hizi full kujibebisha akat iliombaga ushauri namna ya kuishi na v.v.umbona kuna uzi ulisema unaficha simu sijui waifu asiione
mara mtoto wako kafaulu...
mbona kuna uzi ulisema unaficha simu sijui waifu asiione
mara mtoto wako kafaulu...
kwanini ukatae ndoa sasa?Nashukuru nimeanza Mwaka 2025 vizuri bila makandokando
Leo asubuhi niliacha simu imezagaa zagaa bila kuifunga. Niliporudi nikakuta Afisa Upelelezi anaifanyia upekuzi wa kina bila kibali. Ikabidi nimtazame machoni kiwiziwizi kuona kama kuna chozi linalenga lenga. Sikuona chozi ila nikaona ni kama mtu anayevuta kumbukumbu fulani. Ikabidi nitoke nje...www.jamiiforums.com
Nenda kasome tena ulikuwa misinformed. Hiyo ya mtoto umeshindwa hata kutumia common sense?