Kwanza naomba niku pongeze ewe
OKW BOBAN SUNZU, hongera kwa kuweza kupata machale ya kuli kwepa zimwi la ndoa.
Usi ogope uko katika njia sahihi, maana wanawake wengi kwa Sasa ni kina kaisari, wana penda mtelezo wa kuvuna wasipo panda.
najua wata kwambia una potea, ila ukweli wengi wao Wana ugulia maumivu makali mno, ni vile Wana kosa mtetezi.
Mfano hai ni huyu
Zulu man na kubwa la manusu a.k.a nusu albino
Half american
Karibu karibu, katika chama bora east Africa na duniani kwa ujumla.
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
KATAA NDOA MKATABA WA KITAPELI
View attachment 3228273