Natamani kujiunga Chama la Kataa Ndoa ila Roho bado inasita-sita

Natamani kujiunga hili Chama la Wana ila roho bado inasita-sita.

Nimejifungia sehemu bado natafakari
Hata mimi nilikuwa hvyo hvyo mkuu ila mwaka wa pili unaenda na kamanda mmoja yupo mjini na fujo kibao tafuta mtoto aliyetulia weka ndani.
 
Usipooa uta ....
 
Usiende.
Usisikilize watu waliokosa foundation nzuri kutoka kwa wazazi wao.
Umelelewa na baba na mama, in harmony, hauna majeraha ya kihisia why should you follow these confused fellow's..???
I say kama Huna majeraha ya kihisia tafuta binti aliyelelewa na wazazi wake wote wawili UOE. Usisikilize watu coming from broken homes topped up with broken relationships...
 
Ndoa ni mpango wa kumfirisi na kumwangamiza mwanaume
 
Mdanganyane Kwan waliolelewa na wazazi hawasumbui?
 
Mdanganyane Kwan waliolelewa na wazazi hawasumbui?
Kuna siku utajua kwa nini nimesema niliyoyasema...sasa hivi bado mdogo sana na sijiskii kukufafanulia; endelea kujifunza through experience...I pray you graduate lol
 
Namlia timing tu ,kabla sijarambaratisha hiko chama na nataka siku niombe Mdahalo na kataa Ndoa tuelimishane kwa hoja maana naona wanaleta utoto na upuuzi.
Tunakusubiri mkuu tumekaa pale na notebook zetu zenye notes nyingi tu kwanini tunakataa ndoa
 
Ila mkikataa ndoa unamaanisha hamtaishi na mwanamke na kuzaa nae pia

Nifafanulie niwaelewe ๐Ÿ˜€
Kuzaa nao tunazaa nao vizuri Tu na watoto tunao ila Sisi hatutaki kuingia kwenye kifungo hiki batili (NDOA) chenye ukatli mwingi kwa mwanaune na mtaji kwa mwanamke. In short watoto tunao ila wake wa NDOA hatuna na kamwe hatutakuwa nao.
 
Mm kuna binti wa kisutu kanichanganya jaman ananipa yote ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Anasema amechoka kusoma anataka kuolewa

Naomba nimshinde shetani maana kitoto kinawakasio poa ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ