Natamani kujua kinachoendelea Jangwani Sea Breeze

Hizo picha kapost djommycrazy wa EATV sasa unataka reporter gani mwingine toka EATV duu Mimi ni hater wa diamond ila wewe ndugu yangu umezidi hahaha
 
hilo nyomi sio la kawaida heshima kwako diamond
 
-Clouds fm
-Vodacom Tz
-Mkesha wa X-mass
-Dar es salaam
Kwa factor hizi hata mwanangu best Nasso anajaza uwanja wa Taifa bila shida,tuachane na idadi ya watu tuambieni WCB wanafanya balaa gani leo maana idadi ya watu ilikua iko wazi kama nanliiu ya kuku duh mimi niko zangu La chaaz hapa nahisi JPM anasingiziwa kuhusu hali ngumu maana tumejaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…