Natamani kumcheki lakini nashindwa kwa kuhofia kuonekana dhaifu kwake

Natamani kumcheki lakini nashindwa kwa kuhofia kuonekana dhaifu kwake

Bora kuitwa dear x kuliko kuwa kwenye mahusiano mabovu
😂😂😂 Ww acha kukaza fuvu utakufa shauri zako, za kuambiwa changanya na zako.!!!
Utakosa mtu sahihi maishani mwako kwa kusikiliza ushauri wa watu ambao wao wenyewe hawaufati.!!
 
😂😂😂 Ww acha kukaza fuvu utakufa shauri zako, za kuambiwa changanya na zako.!!!
Utakosa mtu sahihi maishani mwako kwa kusikiliza ushauri wa watu ambao wao wenyewe hawaufati.!!
Daaah sasa unanishaurije kiongozi 😅😅😅
 
Kama umemkosea muombe msamaha yaishe km hataki tupa kule, km yy ndio kakukosea kaa chini muyaongee usikie upande wake anasemaje.!! Na makosa yawe ya kueleweka sio vikosa vya ujinga ujinga..!!
Unaweza kumuacha mpz wako kwa tabia ya kijinga inayovumilika halafu ukaangukia kwa kicheche na mwenye dharau na asiye na adabu, hapo utakuwa hakuna ulichofanya.
 
Yapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu

Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.

Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this

Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo unanishawishi nimcheki hata kwa kumtext lakini akili inakataa kabisa na kunambia uthithubutu.

Sasa wote tukiendekeza ego nani ataanza kumcheki mwenzake?

Daah nipo dilemma mwenzenu

Mapenzi mapenzi mapenzi

Ni maumivu tu badala ya furaha

Nakufa kijerumani na tai shingoni

Anyway kumpenda nampenda nikizidiwa nitamcheki
Watu wa dar mna vituko 🤣
Cc BICHWA KOMWE -
 
Bora kuitwa dear x kuliko kuwa kwenye mahusiano mabovu
Hapo ndio watu huwa wanakosea kwa kutojua nini wanataka.

Kwanza jamaa kasema wamepishana kauli, ila hajasema chanzo ni nani na ugomvi umetokana na jambo gani. Hivyo huwezi kusema hayo ni mahusiano mabovu.

Alafu kingine, kununa ni hulka ya kike ili wabembelezwe. Sasa wewe mwanaume unaponuna, unakuwa unataka nini?

Yani labda kama hawapendani, ila binafsi sionagi sababu ya kununiana.
 
🤣🤣🤣🤣 hatareee na wapenzi wenyewe hawa wa siku hizi ndio kwanza anajipongeza na savannah baridi kufurahia kutua zigo la misumari
Mshauri jamaa aache kununa 😅
 
Daaah sasa unanishaurije kiongozi 😅😅😅
Hao waliokupa ushauri sijui muache, piga chini usimtafute, kaza mwanangu, majority ni waongo hawafanyi hivo kwa wenzi wao, kifupi kibodi warrior usiwasikilize. Hao wengine wanawafumania wake zao na wanauchuna ila wakiwa huku wanatamba na fake ID zao.

Ww mtafute beiby wako myajenge hakuna asiyekosea na aliyekamilika hapa chini ya jua.
Unaweza kumuacha kwa kosa la kijinga ambalo linaweza kurekebishika halafu ukaja kuangukia kwa mwingine ambaye ndio kichefuchefu zaidi..!! Mi mwenyewe nimemkumbuka ex wangu nilimuacha kwa kosa la kijinga, halafu sijaona wa kumreplace mpk leo nabaki kujuta.
 
🤣🤣🤣 Halafu siku hizi wanaume mmekuwa na tabia ya kujinunisha sijui kwann??!! Au vyakula mnavyokula vinawapa tabia za kike?!
Hizo tabia zetu ndio mmerithi nyie siku hizi.
😅😅😅 Generalization ndio kitu ambacho Mimi nakataa siku zote. Binafsi siwezi kubeba lawama za group. Pengine hao uliokutana nao ndio wenye hizo tabia za kujinunisha, ila sio Mimi. Swali la kujiuliza, nanuna ili iweje??!

Labda iwe nimeona hapa it's over, ila kinyume na hapo, tunagombana, unavimba, hasira zikiisha naomba utelezi tunasameheana 😅.

Haka kajamaa katakuwa na gubu
 
Shida ni kwamba kuna siku alinicheki kabla ta kutimia wiki na mimi nikawa namfanyia makusudi kuchelewa kujibu text zake na najibu baada ya masaa matatu na alikua akipigia sipokei.Nipo dilemma.
Kumbe ulibipu Sasa yeye kakupigia mzima
 
😅😅😅 Generalization ndio kitu ambacho Mimi nakataa siku zote. Binafsi siwezi kubeba lawama za group. Pengine hao uliokutana nao ndio wenye hizo tabia za kujinunisha, ila sio Mimi. Swali la kujiuliza, nanuna ili iweje??!

Labda iwe nimeona hapa it's over, ila kinyume na hapo, tunagombana, unavimba, hasira zikiisha naomba utelezi tunasameheana 😅.

Haka kajamaa katakuwa na gubu
🤣🤣🤣🤣 bora ww unajitambua, utaishi maisha marefu na yenye furaha sana shemeji endelea hivo hivo
 
Hao waliokupa ushauri sijui muache, piga chini usimtafute, kaza mwanangu, majority ni waongo hawafanyi hivo kwa wenzi wao, kifupi kibodi warrior usiwasikilize. Hao wengine wanawafumania wake zao na wanauchuna ila wakiwa huku wanatamba na fake ID zao.

Ww mtafute beiby wako myajenge hakuna asiyekosea na aliyekamilika hapa chini ya jua.
Unaweza kumuacha kwa kosa la kijinga ambalo linaweza kurekebishika halafu ukaja kuangukia kwa mwingine ambaye ndio kichefuchefu zaidi..!! Mi mwenyewe nimemkumbuka ex wangu nilimuacha kwa kosa la kijinga, halafu sijaona wa kumreplace mpk leo nabaki kujuta.
Poa mkuu shukrani
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Halafu siku hizi wanaume mmekuwa na tabia ya kujinunisha sijui kwann??!! Au vyakula mnavyokula vinawapa tabia za kike?!
Hizo tabia zetu ndio mmerithi nyie siku hizi.
Tumejifunza kufunika kombe mwanaharamu apite kwa kuondoa mabishano ingawa kukaa kimya hutafsiriwa Kama mnuno. Tukiamua kuongea mahusiano yanakufa maana kuna wakati hamuwezagi kujishusha na hamchagui silaha ya kushusha kwenye moyo wa mtu.
 
Kama una plan ya kuoa mtafute

Ila Kama huna plan, ni mda wa kujiweka sawa kumtafuta mwengine.

Huo ujinga utakuj kurudi tu siku 1
 
Back
Top Bottom