- Thread starter
- #121
MeWE ni me au ke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MeWE ni me au ke
Hivi mpaka leo kuna watu wanakosa usingizi kisa mapenzi?! Aisee…Imagine unamtext hafu akakukaushia.. utapata usingizi kweli?
VizuriKuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.
Mnazingua nyie mwache mwamba akaze akilegeza ataanza kupiga deki sasa hv.Fanya vile unahisi moyoni mwako. Hawa wanaokuambia ukaze usimtafute nao wana ya kwao ni vile hawasemi. Mahusiano yako wewe ndio muamuzi wa mwisho, usikubali kumpoteza mpenzi wako kirahisi ati kisa utaonekana mnyonge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kudadeki kula chuma hiyoYapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu
Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.
Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this
Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo unanishawishi nimcheki hata kwa kumtext lakini akili inakataa kabisa na kunambia uthithubutu.
Sasa wote tukiendekeza ego nani ataanza kumcheki mwenzake?
Daah nipo dilemma mwenzenu
Mapenzi mapenzi mapenzi
Ni maumivu tu badala ya furaha
Nakufa kijerumani na tai shingoni
Anyway kumpenda nampenda nikizidiwa nitamcheki
Nyie ndio mnazingua. Mapenzi hayana baunsa.Mnazingua nyie mwache mwamba akaze akilegeza ataanza kupiga deki sasa hv.
Nikweli hayana baunsa lkn mtoto wa kiume ku bow kwa mwanamke ni umama sn hii itapelekea mwamba kurudisha ubingwa kama atajishusha first.Nyie ndio mnazingua. Mapenzi hayana baunsa.
Kama jamaa ndio kakosea ajishushe tu.Nikweli hayana baunsa lkn mtoto wa kiume ku bow kwa mwanamke ni umama sn hii itapelekea mwamba kurudisha ubingwa kama atajishusha first.
Let lady be the first kama mnavyojinadi
Unakutana na aliyepinda, hakucheki hata kdg.Kaza mwana, mimi nilikaza miezi mitatu mpaka alipojichatisha.
Unamiaka mingapi?Yapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu
Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.
Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this
Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo unanishawishi nimcheki hata kwa kumtext lakini akili inakataa kabisa na kunambia uthithubutu.
Sasa wote tukiendekeza ego nani ataanza kumcheki mwenzake?
Daah nipo dilemma mwenzenu
Mapenzi mapenzi mapenzi
Ni maumivu tu badala ya furaha
Nakufa kijerumani na tai shingoni
Anyway kumpenda nampenda nikizidiwa nitamcheki
Mkuu mimi mwenyewe nime chuniana na demu kisa nilimwambia ukweli kwa kwanjia ya kumuuliza, nilimuumliza mbona nikikuhaidi nitakupata pesa unakuwa wa kwanza kuni charisma na kunipigia simu na nikisha kupa pesa tu unakuwa upokei simu zangu wala kijibu sms zangu za salamu, na nikamwambia nahisi wewe una mambo mengi. Aiingii akilini kwenye swala la pesa unakuwa unanisumbua kwa kunitumia sms na kunipigia kunikumbushia pesa niliyokwambia nitakutumia na nikishatuma tu una ninyamazia ata kujib sms.Akili za kuambiwa changanya na zako...wewe ndiye unajua mbivu na mbichi kwenye mahusiano yenu!!
Kama ishu ni ngumu iteme tuu.. kujishusha ni busara lakin inategemea na aina ya kosa!!
Mnanyamalapa.Yapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu
Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.
Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this
Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo unanishawishi nimcheki hata kwa kumtext lakini akili inakataa kabisa na kunambia uthithubutu.
Sasa wote tukiendekeza ego nani ataanza kumcheki mwenzake?
Daah nipo dilemma mwenzenu
Mapenzi mapenzi mapenzi
Ni maumivu tu badala ya furaha
Nakufa kijerumani na tai shingoni
Anyway kumpenda nampenda nikizidiwa nitamcheki
miezi mitatu? hapo kati kati kuna mwana alipata part time job ila ndo hivyo hakuna na CV nzuri ya kuhonga kukuzidiKaza mwana, mimi nilikaza miezi mitatu mpaka alipojichatisha.