GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Precisely.Huyo ni tapeli kaamua kusafiria nyota kali ya umaarufu ya GENTAMYCINE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Precisely.Huyo ni tapeli kaamua kusafiria nyota kali ya umaarufu ya GENTAMYCINE
Ambaye Pumbavu Mmoja Wewe Unamchukia sana hapa JamiiForums ila 24/7 uingiapo JamiiForums huachi Kumsoma na Kumfuatilia.
GENTAMYCINE naona LIKUD amekubadilisha junsia hadharani na wewe unamwangalia tu, kweli?Siku zote najuaga GENTAMYCINE ni ke.
Kisungura kaanza kuwatemea nyongo,ngoja niongeze ice kwenye hii juice naona inapoteza ubaridi wake.
Hujaanza leo kutumia nguvu Kubwa kutaka kuonyesha kuwa Wewe ndiyo mpiga BAN hapa JamiiForums na Chuki zako za Kipumbavu dhidi yangu.
Jiulize kwanini nikiwa BANNED hapa JamiiForums bado GENTAMYCINE naendelea kuwa Mioyoni mwa Watu kwa Kunijadili na mpaka idadi ya Followers wangu Kuongezeka?
Mwenyezi Mungu kanibariki na Tunu ( Shani ) nyingi Tukuka kuliko Wenye Wivu na Umaarufu wangu hapa JamiiForums na nakuhakikishia hata ikitokea Nimekufa bado ID yangu na haya Mawazo yangu bila kuusahau huu Uwasilishaji wangu utadumu daima na milele ndani na nje ya JamiiForums.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Sina tabia ya Kuwachelewesha Wapumbavu, Waswahili na Wanafiki wakikatiza mbele yangu.Woyoooooooooo piga kelele kwa Genta akee
Spana zimeanza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi sio mchawi ila kwenye hii thd,walimu wote wapo na GENTAMYCINEHatumwi mtu leo tuko sambamba [emoji23][emoji23][emoji23]
Sina tabia ya Kuwachelewesha Wapumbavu, Waswahili na Wanafiki wakikatiza mbele yangu.
Mimi sio mchawi ila kwenye hii thd,walimu wote wapo na GENTAMYCINE
Kama kuna Mtu hapa ( katkka huu Uzi ) anadhani au anategemea nitamjibu vibaya Mpwayungu Village kwa huu Uzi wake namuonea Huruma kwani sitofanya hivyo.Bro mpige spana na Mpwayungu, walimu wote wamesema wapo pamoja na wewe wamechoka kusimangwa. Wanasubiri useme neno [emoji12]
Dimwit.
Utter Nonsense.hizi fake ID zinaweza zikakufanya ukatengeneza image flan ukaona ni watu flan wanatisha sana
We mwalimu kutoka Bukwimba naona mmewasiliana na mwalimu mwenzako mpwayungu huko pm mkaamua mje kusaka attention humuUtter Nonsense.
Cc: Mpwayungu VillageLengo lako mpwawungu nimeshalijua
Utter Nonsense.We mwalimu kutoka Bukwimba naona mmewasiliana na mwalimu mwenzako mpwayungu huko pm mkaamua mje kusaka attention humu