GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
A Hypocrite and Certified Nut at Work.[emoji23][emoji23][emoji23] udugu Depal vibuyu hakuna wanaogopana mchanga rudisha, utatufaa kwenye mtanange mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A Hypocrite and Certified Nut at Work.[emoji23][emoji23][emoji23] udugu Depal vibuyu hakuna wanaogopana mchanga rudisha, utatufaa kwenye mtanange mwingine
A Hypocrite and Certified Nut at Work.
Ivi kumbeHuyo ni tapeli kaamua kusafiria nyota kali ya umaarufu ya GENTAMYCINE
Oya vipi Sasa Nipe namba ya wife basiHujaanza leo kutumia nguvu Kubwa kutaka kuonyesha kuwa Wewe ndiyo mpiga BAN hapa JamiiForums na Chuki zako za Kipumbavu dhidi yangu.
Jiulize kwanini nikiwa BANNED hapa JamiiForums bado GENTAMYCINE naendelea kuwa Mioyoni mwa Watu kwa Kunijadili na mpaka idadi ya Followers wangu Kuongezeka?
Mwenyezi Mungu kanibariki na Tunu ( Shani ) nyingi Tukuka kuliko Wenye Wivu na Umaarufu wangu hapa JamiiForums na nakuhakikishia hata ikitokea Nimekufa bado ID yangu na haya Mawazo yangu bila kuusahau huu Uwasilishaji wangu utadumu daima na milele ndani na nje ya JamiiForums.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Kuwa na adabuAmbaye Pumbavu Mmoja Wewe Unamchukia sana hapa JamiiForums ila 24/7 uingiapo JamiiForums huachi Kumsoma na Kumfuatilia.
[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu nipo serious nataka kumwona wife wako nasikia ana tacall hatareeKama kuna Mtu hapa ( katkka huu Uzi ) anadhani au anategemea nitamjibu vibaya Mpwayungu Village kwa huu Uzi wake namuonea Huruma kwani sitofanya hivyo.
Kuna Watu hapa JamiiForums ili IDs zao ziwe Active na Watu wazijue no lazima waje na Threads za Kumhusu GENTAMYCINE Mtu Mwenye Nyota ya Kipekee ya Kimvuto ili akijibizana nao basi Umaarufu wao Uongezeke.
Usichokijua na nakuonyesha kuwa GENTAMYCINE nina Akili Kubwa na Upeo wa Ajabu ni kwamba Nia Kuu ya huu Uzi si Mke Wangu kama inavyosomeka bali kilicholengwa hasa hapa ni GENTAMYCINE ajadiliwe, achafuliwe, adhihakiwe na atukanwe ili ahamaki ajibu 'Kimakombora Umiza' yake kisha aripotiwe na apewe BAN na asiendelee kuwepo JamiiForums.
Chuki zao ni Baraka mno tu Kwangu.
Sio lazima unireport mkuu, kuona na kusalimia mke wa mtu Kuna shida?Moderators wa JamiiForums huu Uzi wa Mpwayungu Village hauna mlengo wa Mleta Mada bali ni kutaka nichafuliwe, nitukanwe na nishambuliwe ili nihamaki niwajibu hovyo waniripoti Kwenu na mnipe BAN.
Sihitaji Kujadiliwa au Kuanzishiwa Uzi.
Cc: Cookie, YinYang, Paw
, Active, Moderator, JamiiForums and JamiiForums Founder Maxence Melo
Lengo ni kumuona mke mvumilivu wa gentamycineLengo lako mpwawungu nimeshalijua
[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu nipo serious nataka kumwona wife wako nasikia ana tacall hataree
Mimi simo.Siku zote najuaga GENTAMYCINE ni ke.
Nasikia una UD sita humu JF je ni kweliHujaanza leo kutumia nguvu Kubwa kutaka kuonyesha kuwa Wewe ndiyo mpiga BAN hapa JamiiForums na Chuki zako za Kipumbavu dhidi yangu.
Jiulize kwanini nikiwa BANNED hapa JamiiForums bado GENTAMYCINE naendelea kuwa Mioyoni mwa Watu kwa Kunijadili na mpaka idadi ya Followers wangu Kuongezeka?
Mwenyezi Mungu kanibariki na Tunu ( Shani ) nyingi Tukuka kuliko Wenye Wivu na Umaarufu wangu hapa JamiiForums na nakuhakikishia hata ikitokea Nimekufa bado ID yangu na haya Mawazo yangu bila kuusahau huu Uwasilishaji wangu utadumu daima na milele ndani na nje ya JamiiForums.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Eti wewe ni jinsia Gani?Parody. I'm GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' Okay?
Huenda katika Watu wote waliochangia huu Uzi Wewe ndiyo ukawa una Akili Kubwa na Umeilewa mbinu ya Kitoto, Kipuuzi na Kipumbavu ya Mleta Mada ( Uzi )Mpwayungu Village umeona thread zako za kipuuz hazijakusaidia chochote Zaid ya kuonekana mwehu ndio umekuja na mbinu mpya ya kusafiria nyota ya GENTAMYCINE
Nakushauri tu bwana mdogo haihitajik kuanzisha ugomvi na mtu ili uweze kuwa maarufu huku jf
Ya anayekukaza.Eti wewe ni jinsia Gani?
Female or male?Ya anayekukaza.
Kumbe 'anayekuweka' ni Mwanamke?Female or male?
Nimeuliza wamesema unazo sabaUulize Uongozi wa JamiiForums.
Pumbavu.