Natamani kumjua mke wa Gentamycine nione uvumilivu alio nao

Natamani kumjua mke wa Gentamycine nione uvumilivu alio nao

Hujaanza leo kutumia nguvu Kubwa kutaka kuonyesha kuwa Wewe ndiyo mpiga BAN hapa JamiiForums na Chuki zako za Kipumbavu dhidi yangu.

Jiulize kwanini nikiwa BANNED hapa JamiiForums bado GENTAMYCINE naendelea kuwa Mioyoni mwa Watu kwa Kunijadili na mpaka idadi ya Followers wangu Kuongezeka?

Mwenyezi Mungu kanibariki na Tunu ( Shani ) nyingi Tukuka kuliko Wenye Wivu na Umaarufu wangu hapa JamiiForums na nakuhakikishia hata ikitokea Nimekufa bado ID yangu na haya Mawazo yangu bila kuusahau huu Uwasilishaji wangu utadumu daima na milele ndani na nje ya JamiiForums.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Oya vipi Sasa Nipe namba ya wife basi
 
Kama kuna Mtu hapa ( katkka huu Uzi ) anadhani au anategemea nitamjibu vibaya Mpwayungu Village kwa huu Uzi wake namuonea Huruma kwani sitofanya hivyo.

Kuna Watu hapa JamiiForums ili IDs zao ziwe Active na Watu wazijue no lazima waje na Threads za Kumhusu GENTAMYCINE Mtu Mwenye Nyota ya Kipekee ya Kimvuto ili akijibizana nao basi Umaarufu wao Uongezeke.

Usichokijua na nakuonyesha kuwa GENTAMYCINE nina Akili Kubwa na Upeo wa Ajabu ni kwamba Nia Kuu ya huu Uzi si Mke Wangu kama inavyosomeka bali kilicholengwa hasa hapa ni GENTAMYCINE ajadiliwe, achafuliwe, adhihakiwe na atukanwe ili ahamaki ajibu 'Kimakombora Umiza' yake kisha aripotiwe na apewe BAN na asiendelee kuwepo JamiiForums.

Chuki zao ni Baraka mno tu Kwangu.
[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu nipo serious nataka kumwona wife wako nasikia ana tacall hataree
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu nipo serious nataka kumwona wife wako nasikia ana tacall hataree

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mpwayungu unakaribia kuchukua ubingwa, sijui walimu wana hali gani?!! Najua ukitoka hapa unawawashia mwenge
 
Hujaanza leo kutumia nguvu Kubwa kutaka kuonyesha kuwa Wewe ndiyo mpiga BAN hapa JamiiForums na Chuki zako za Kipumbavu dhidi yangu.

Jiulize kwanini nikiwa BANNED hapa JamiiForums bado GENTAMYCINE naendelea kuwa Mioyoni mwa Watu kwa Kunijadili na mpaka idadi ya Followers wangu Kuongezeka?

Mwenyezi Mungu kanibariki na Tunu ( Shani ) nyingi Tukuka kuliko Wenye Wivu na Umaarufu wangu hapa JamiiForums na nakuhakikishia hata ikitokea Nimekufa bado ID yangu na haya Mawazo yangu bila kuusahau huu Uwasilishaji wangu utadumu daima na milele ndani na nje ya JamiiForums.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Nasikia una UD sita humu JF je ni kweli
 
Mpwayungu Village umeona thread zako za kipuuz hazijakusaidia chochote Zaid ya kuonekana mwehu ndio umekuja na mbinu mpya ya kusafiria nyota ya GENTAMYCINE

Nakushauri tu bwana mdogo haihitajik kuanzisha ugomvi na mtu ili uweze kuwa maarufu huku jf
Huenda katika Watu wote waliochangia huu Uzi Wewe ndiyo ukawa una Akili Kubwa na Umeilewa mbinu ya Kitoto, Kipuuzi na Kipumbavu ya Mleta Mada ( Uzi )

Hongera Mkuu.
 
Back
Top Bottom