Natamani kumjua mke wa Gentamycine nione uvumilivu alio nao



🗑️
 
Bro mpige spana na Mpwayungu, walimu wote wamesema wapo pamoja na wewe wamechoka kusimangwa. Wanasubiri useme neno [emoji12]
Kama kuna Mtu hapa ( katkka huu Uzi ) anadhani au anategemea nitamjibu vibaya Mpwayungu Village kwa huu Uzi wake namuonea Huruma kwani sitofanya hivyo.

Kuna Watu hapa JamiiForums ili IDs zao ziwe Active na Watu wazijue no lazima waje na Threads za Kumhusu GENTAMYCINE Mtu Mwenye Nyota ya Kipekee ya Kimvuto ili akijibizana nao basi Umaarufu wao Uongezeke.

Usichokijua na nakuonyesha kuwa GENTAMYCINE nina Akili Kubwa na Upeo wa Ajabu ni kwamba Nia Kuu ya huu Uzi si Mke Wangu kama inavyosomeka bali kilicholengwa hasa hapa ni GENTAMYCINE ajadiliwe, achafuliwe, adhihakiwe na atukanwe ili ahamaki ajibu 'Kimakombora Umiza' yake kisha aripotiwe na apewe BAN na asiendelee kuwepo JamiiForums.

Chuki zao ni Baraka mno tu Kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…