Natamani kumjua mke wa Gentamycine nione uvumilivu alio nao

Oya vipi Sasa Nipe namba ya wife basi
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu nipo serious nataka kumwona wife wako nasikia ana tacall hataree
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu nipo serious nataka kumwona wife wako nasikia ana tacall hataree

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mpwayungu unakaribia kuchukua ubingwa, sijui walimu wana hali gani?!! Najua ukitoka hapa unawawashia mwenge
 
Nasikia una UD sita humu JF je ni kweli
 
Mpwayungu Village umeona thread zako za kipuuz hazijakusaidia chochote Zaid ya kuonekana mwehu ndio umekuja na mbinu mpya ya kusafiria nyota ya GENTAMYCINE

Nakushauri tu bwana mdogo haihitajik kuanzisha ugomvi na mtu ili uweze kuwa maarufu huku jf
Huenda katika Watu wote waliochangia huu Uzi Wewe ndiyo ukawa una Akili Kubwa na Umeilewa mbinu ya Kitoto, Kipuuzi na Kipumbavu ya Mleta Mada ( Uzi )

Hongera Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…