mie nilisikiaga mange kimambi anasema,eti Nyani Ngabu kuna ukweli wowote
Halafu kwa kutumia mantiki ya mtoa hoja/mwanzisha mada kwamba wazungu wana mapenzi ya dhati.
Je, yeye mwanzisha mada ni mtu gani - ni Mzungu au Mwafrika/mweusi?
Kama ni Mwafrika/mweusi, je, yeye ana mapenzi ya dhati? Maana si kasema wazungu wana mapenzi ya dhati, basi, yeye kama siyo Mzungu hana hayo mapenzi ya dhati. Ndivyo hivyo ilivyo?
Vibamia pia tatizo maana mitarimbo ya huku ni hatari aisee ila labda ntapata kifurushi cha maana
ngoja niendelee kutafuta
KYALOSANGI na wewe ni mzungu!!!!!!we tafuta mihela tu ......wenzio wanatulalamikaia eti ni wabaridiii!
Hehe, Rufiji wapo kibao pale. Ila sikushauri, wazungu si watu wazuri sana halaf wana michezo ya ajabu ajabu!
hahaaa na mie mbona huwa natumia mega box,sa si itakula kwangu sasa,
Vibamia pia tatizo maana mitarimbo ya huku ni hatari aisee ila labda ntapata kifurushi cha maana
ngoja niendelee kutafuta
Na utajuaje kuwa mzungu huyu ana kibamia na huyu ana kifurushi?
Trial n Error Method?
Pick n Return?
Demand n Explore?
mimi ni mwafrika wala sina uzungu wowote,ni muafrika pure
mie nasikia eti wakipenda wamekupenda labda nikashindwe mwenyewe na umakwenkwe wangu....,
Unataka wa nchi gani, yupo kutoka Sweden, ana miaka 65, anahitaji Mdada wa Kiafrika kama kama uko tayari ni-pm nikutumie e-mail address yake. Kuna kipindi nilifanya naye project kwa muda wa miaka 5 sasa, nikaona ana huruma sana na mbwa wake. Tukiwa tunaenda kazini ampeleka mbwa day care ya mbwa, jioni tunampitia anarudi naye nyumbani, mbwa akiugua naye anakuwa na mawazo kama vile ni mtoto. Hii ilinipa wasi wasi kuwa anaweza ku-share naye kitu chochote.
Nani kakuambia wazungu wana mapenzi ya kweli? wana vibamia , , , ,lol! wapendelea mandingo siyoo ,weye mtoto?
Una akili timamu kweli wewe?😕
hahahaha, shosti umechoka na hawa kaka zetu wa kibongo?
Mi nilishasema, we siku hizi sijui ukoje....!!!!
Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.
watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa
hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,
sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....
kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa
may be on this issue am totally insane