Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

Halafu kwa kutumia mantiki ya mtoa hoja/mwanzisha mada kwamba wazungu wana mapenzi ya dhati.

Je, yeye mwanzisha mada ni mtu gani - ni Mzungu au Mwafrika/mweusi?

Kama ni Mwafrika/mweusi, je, yeye ana mapenzi ya dhati? Maana si kasema wazungu wana mapenzi ya dhati, basi, yeye kama siyo Mzungu hana hayo mapenzi ya dhati. Ndivyo hivyo ilivyo?

mimi ni mwafrika wala sina uzungu wowote,ni muafrika pure

mie nasikia eti wakipenda wamekupenda labda nikashindwe mwenyewe na umakwenkwe wangu....,
 
hahaaa na mie mbona huwa natumia mega box,sa si itakula kwangu sasa,

Vibamia pia tatizo maana mitarimbo ya huku ni hatari aisee ila labda ntapata kifurushi cha maana

ngoja niendelee kutafuta

Teh teh teh.......kama unatumia mega box huko sidhani kama patakufaa labda uhamie airtel.
La sivyo itakuwa mambo ya twanga kotekote a.k.a thumni
 
Unataka wa nchi gani, yupo kutoka Sweden, ana miaka 65, anahitaji Mdada wa Kiafrika kama kama uko tayari ni-pm nikutumie e-mail address yake. Kuna kipindi nilifanya naye project kwa muda wa miaka 5 sasa, nikaona ana huruma sana na mbwa wake. Tukiwa tunaenda kazini ampeleka mbwa day care ya mbwa, jioni tunampitia anarudi naye nyumbani, mbwa akiugua naye anakuwa na mawazo kama vile ni mtoto. Hii ilinipa wasi wasi kuwa anaweza ku-share naye kitu chochote.
 
Unataka wa nchi gani, yupo kutoka Sweden, ana miaka 65, anahitaji Mdada wa Kiafrika kama kama uko tayari ni-pm nikutumie e-mail address yake. Kuna kipindi nilifanya naye project kwa muda wa miaka 5 sasa, nikaona ana huruma sana na mbwa wake. Tukiwa tunaenda kazini ampeleka mbwa day care ya mbwa, jioni tunampitia anarudi naye nyumbani, mbwa akiugua naye anakuwa na mawazo kama vile ni mtoto. Hii ilinipa wasi wasi kuwa anaweza ku-share naye kitu chochote.

Ni PM email yake bana,maelezo mengi sana sijasoma hadi mwisho mie
 
muke.gif
muke.gif


Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.

watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa

hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,

sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....

kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa
muke.gif
Mi nilishasema, we siku hizi sijui ukoje....!!!!
 
Back
Top Bottom