[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Nashukuru mkuuEndelea kusubir muda utaongea. Ila katika kusubiri huko omba mungu usije ukampata utakayempenda ww alafu yeye akupendi. Ndio utajua kuwa hata singeli za kihindi zipo pia n'a zinachezekaaa.
Yangu hayo tu mungu akupe subra katika kusubir umpate mtayependana na si kumpenda ww tu.
Its hard for young generation to get what you say.Ulishawahi kujiuliza why walifundishwa hivyo?
But for ur information, mzani wa mapenzi haujawahi kubalance linapokuja suala la kupendana, especially at the first time. One loves more, and on the way the other one learns to love to balance the equation.
Ukiona aliyekuvutia mkuu mfate mwenyewe usisubir akufate......[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Nashukuru mkuu
Njoo pm, Ni Mimi uliyekuwa ukinisubiri.Moyo wangu uko tayari kupenda tena ila kinachonipa mawazo ni wapi nitampata mwanaume nitakaempenda kwa dhati, nina tatizo na kuwaamini wanaume wa Dar ila pia sitaki mapenzi ya mbali sababu yalinipotezea mwanaume niliyempenda kuliko mwanaume mwingine chini ya jua.
Na shida yangu sasa huwa nampenda mtu siku ya kwanza nimemuona ila katika pitapita zangu sijaona mtu wa kumpenda mpaka leo yani wanaonifuata hamna hata mmoja anaenivutia.
Nambie uko wapi?Hehehee
Kazi na dawa mkuu,Wewe chapa kaziii!!!
Ukuta wa Mererani au magogoniNimekumiss pia mamy, tumetenganishwa na ukuta!
Tatizo ni pale mzani utakapogoma kubalance kabisa.Ulishawahi kujiuliza why walifundishwa hivyo?
But for ur information, mzani wa mapenzi haujawahi kubalance linapokuja suala la kupendana, especially at the first time. One loves more, and on the way the other one learns to love to balance the equation.
Endelea kujaribu kwamwezi wa2 .miezi 12× 2 =24 So kwamwaka unagegedwa na wanaume 24 .Nawaonaga waongo waongo, nilishajaribu wawili ila wote hatukudumu hata mwezi nikawaacha japo wananitaka hata sasa hivi ila nimeshindwa..
Na hiyo mimba utampelekea nani? Umeachwa ndo unatafuta wa kulea mtottoMoyo wangu uko tayari kupenda tena ila kinachonipa mawazo ni wapi nitampata mwanaume nitakaempenda kwa dhati, nina tatizo na kuwaamini wanaume wa Dar ila pia sitaki mapenzi ya mbali sababu yalinipotezea mwanaume niliyempenda kuliko mwanaume mwingine chini ya jua.
Na shida yangu sasa huwa nampenda mtu siku ya kwanza nimemuona ila katika pitapita zangu sijaona mtu wa kumpenda mpaka leo yani wanaonifuata hamna hata mmoja anaenivutia.
Ahahaha kwahio unanishauri nimpe shavu sio?Kuwa kwakwe na mtoto hakuondoi ubinadamu wake hata kidogo. Aliteleza lkn ktk kuteleza huko akajipatia zawadi ya kamalaika kasiko na hatia. Kama ana vigezo vya mwanamke unayemtaka unajivutia tu jiko lako. Ni vile hamjui tu, hawa wenye watoto tayari huwa wanalazimishwa kukua na maisha. Hivyo huwa wanajitambua sana na wakipata mwanaume anayejielewa pia wanakuwa wake wazuri sana.
Hao mnaodai ni fresh si ndio hao mnalia wanawakimbia mkifulia!!!