Natamani kupenda tena

Kusema kweli umenigusa sana Mzigua90. Hata mimi nina uhitaji kama wako lkn Mchungaji alinisisitiza nisitumie nguvu kubwa kumpata mwenza wngu wa maisha. Nipo Mwanza, napitia kipindi kigum sana. Naona wanawake wengi wazuri lkn siwapendi. Navuta subira, naww vuta subira. There's right time, right place and right reason ya kumpata mwenza wako. Hata mimi niliwahi kuapa kutopenda tena mwanamke wa dar au wa mbali namim!

Keep your prayer to God!
 
Miracle loading...soon mzigua atanipenda na nishaandaa picha kabisa za kumtumia hapa nipo kwenye photo shop[emoji3] [emoji3]
Eeeh mungu endelea kubariki miujiza hii ipate kutimia/kutendeka..!
 
We ni mtaalamu wa saikolojia ya mapenzi
 
hahaha ahsante mkuu ila Kapeace ni mjuzi zaidi na mzoefu, 10 kumi kasoro yandoa si jambo dogo kabisa. Unastahili kutufunza baadhi yetu hapa jukwaan
Tunafundishana mkuu, mi mwenyewe najishangaa yani kumbe nautafuta uhenga wa ndoani ndo vile niliolewa mdogo sana, kuna wakati nahisi km Nina miaka 3 au iv dah siku zinakimbia kwa kasi sana
 
Hiyo ya kuridhika hata sisi wanaume inatuhusu sana tu, kuna mahali nimeandika jana I think, kuwa 85% ya wanaume wanaoa ambao siyo wangependa kuoa. So ni suala la kubalance tu btn the expected and the one you have maisha yanasonga
Okey my kaka.
 
Fursa hiyo sista kamata, jamaa anafaa kuwa baba wa watoto wako, ana mawazo ya kiutu uzima, hata ile kitu roho yako inapendaga kwake siyo tatizo sana[emoji12] [emoji12]
Sio kila fursa ni fursa my kaka. [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Sifa ya nini? Chura ipo sema hii ni tatizo sababu hata kama mtu hana mpango na mimi unakuta anakuja kumbe kafuata chura tu. Sitak mwanaume aje kwangu sababu ya chura au uzuri, nataka anipende nilivyo
Tuma picha chaap. Wawekezaji tupo tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…