Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Facebook ni platform kubwa sana ndo inawatumiaji wengi Zaid ila wabongo na ulimbukeni wetu ndo tunajikuta tunajidai kuiona ya hovyo ila kule kuna connection kibao na watu wako lowkey hawna showoff kama huko insta na TwitterFacebook eti
Nakubaliana na wewe.Facebook ni platform kubwa sana ndo inawatumiaji wengi Zaid ila wabongo na ulimbukeni wetu ndo tunajikuta tunajidai kuiona ya hovyo ila kule kuna connection kibao na watu wako lowkey hawna showoff kama huko insta na Twitter
Kwahiyo ni rahisi kupataFacebook ni platform kubwa sana ndo inawatumiaji wengi Zaid ila wabongo na ulimbukeni wetu ndo tunajikuta tunajidai kuiona ya hovyo ila kule kuna connection kibao na watu wako lowkey hawna showoff kama huko insta na Twitter
Utamdharau wadada wa kiafrika😃😃😃Si kwa ubaya au nimedharau wadada wa kiafrica,No. Ni choice tu naona nitakuwa comfortable zaidi nikiwa na mpenzi mzungu.
nenda zanzibar kuwa beachboy na ishi your nature usi-act ustaarabu kama haunao, utawala hadi utasaza.Naomba mawazo ya wazoefu wa kuinteract na wazungu.
Nahitaji msichana/mwanamke wa kizungu awe mpenzi wangu ila sielewi nifanyeje nimpate.
Nimejitahidi kwenda maeneo wanayopendelea kukaa haswa oysterbay/masaki lakini namna ya kuwaingia ni ishu maana wapo busy sana na mambo yao pia ni wagumu kumuamini stranger.
Kwa nini napenda mzungu??
Nimeona lifestyle yangu mwanamke tunayewrza elewana ni wakizungu tu, sihitaji kwenda nje au kupata mali kutoka kwao.
Nisaidieni ujanja washkaji...
Andaa kiasi Cha pesa nikupe connectionNaomba mawazo ya wazoefu wa kuinteract na wazungu.
Nahitaji msichana/mwanamke wa kizungu awe mpenzi wangu ila sielewi nifanyeje nimpate.
Nimejitahidi kwenda maeneo wanayopendelea kukaa haswa oysterbay/masaki lakini namna ya kuwaingia ni ishu maana wapo busy sana na mambo yao pia ni wagumu kumuamini stranger.
Kwa nini napenda mzungu??
Nimeona lifestyle yangu mwanamke tunayewrza elewana ni wakizungu tu, sihitaji kwenda nje au kupata mali kutoka kwao.
Nisaidieni ujanja washkaji...