Halafu kingine nachoshangaa kutokana wingi wawo wa watu wanaotumia mitandao unakuta Celebrity mkubwa ana followers 100 K ila ukija Bongo Celebrity kajamba nani ana Followers Milioni 1.
Kuna ki short course Wema alifanya Malaysia ila aliishia form4 kwa degree hana, mwenye degree ni JokateHata Wema Sepetu sianyo Degree nae
U nailed it.....bongo celebs wenye elimu kubwa eti O LEVEL tena kazungusha! Utatoboaje hapo kwa mfano?Elimu elimu elimu! Celebrity wa ki Nigeria mwenye elimu ndogo ana degree. Ndiyo maana tunasema ukisoma unajikomboa hata ukitaka kuwa mwizi au Malaya utaifanya vizuri inavyotakiwa, lakini hawa wa kwetu asilimia kubwa ni form four failures na darasa la saba, halafu pia wengi wa celebrity wa ki Nigeria wametoa kwenye familia nzuri. Sisi wa kwetu wengi ni watoto wa uswazi halafu hawataki kubadilika,
Kaishia form four ana four ya 26 alienda Malaysia kasoma short course!!!Hata Wema Sepetu sianyo Degree nae
Wanaija balaa!acha kabisaaaKama yule Ini Edo ana maapartments mia kidogo....yaan ye kila wiki anabadilisha ndinga mpya na za maana only!
Hadi Tonto Dikey mvuta bangi, kicheche nae tajiri mbaya yaan...chinekeeeee
Kaishia form four ana four ya 26 alienda Malaysia kasoma short course!!!
Porsche not porcheNimewacheki Mademu, Celebrities, Singo Maza, Madanga na Malaya waliokubuhu huko Nigeria, wala sijaenda pengine
Jinsi walivyoendelea, kila mwanamke ana maisha yake... wanamiliki Majumba, Wamewekeza kwenye Real Estates, Movie Industries, wamejenga Ma-Appartments... akaunt zao zinasoma Billion Nairas... Magari yao wanacheza kwenye BMW, AUDI, PORCHE Cars ... Wanalipa kodi...
Mwanamke ukimkuta Instagram anajidai lakini anajidai kwasababu ana maisha yake na hela zake ... na yupo Proud ...anasema kabisa mimi zamani nimeanza vibaya lakini sasa hivi nina wafanyakazi 50 mpaka 100 wananitegemea... haijalishi ulipoanza Mwisho ndio kila kitu, finali ndio kila kitu!
TUKIRUDI HUKU KWETU BONGO:
Wanawake kama hao hao wa Nigeria, wapo Buzy Instagram wanagombana nani kaenda kwa Mganga... sijui nani kampeleka mwanae kwa Mganga akiwa mtoto kwanza... sijui Mara Kuchambana... kiki za kijinga jinga... huko kwa Youtube ndio kabisa ni vituko... Kuzungukana na kuibiana Mabwana... sasa si bora muibiane Mabwana lakini muwe mnaenda Mbele kuliko kurudi nyuma!
Wengine Buzy wanapost mapicha wamepiga mamekapu ya elfu 70 kwenye akaunt hawana hata mia wanategemea wakadangwe
Tunaomba jamani Nduguzetu Mnaojiita Ma-Celebrity, Madanga Maarufu, Malaya mliokubuhu angalau basi mjifunze kwa nduguzetu wa Nigeria!
Nyie mkiendesha TOYOTA mnajiona mmefiiiiika! oh Nina Prado!
Tunaomba Wadada wa Kitanzania muamke basi Mtalala mpaka lini?
Mimi ndio maana nikiwa nje ya Africa wakiniuliza where are you from nasemaga Am from Ethiopia au Mouritious!
Kiru!
Ngoja niendelee kuandika hadithi mie!
we upo kundi gani danga, malaya au mjasiriamali wa pochi/mkebe na ungeanza wewe ili uwape somo realistic hao wanafunzi wako
AbeeMa-celebrity wanatafuta nini kwa ben 10? je ni kick or dick?
Soma page 1 juuNije wapi jamani!