Natamani sana Kumjua huyu 'Mwamba' aliyebuni hizi Mbinu Mpya za 'Kuua' Vibaka / Wezi Wasumbufu Uswahilini

Natamani sana Kumjua huyu 'Mwamba' aliyebuni hizi Mbinu Mpya za 'Kuua' Vibaka / Wezi Wasumbufu Uswahilini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325


Ya Kwanza ( #1 )

Kibaka / Mwizi anabebwa na Watu Wawili tu kama Maiti inavyoingizwa katika Jeneza kisha ANATIKISWA ( ANACHEKECHWA ) mara Saba ( 7 ) kisha anaachiwa na baada ya dakika 15 tu anawahishwa Mochwari iliyoko Jirani nae Kusubiri Kuzikwa.

Ya Pili ( #2 )

Kibaka / Mwizi akikamatwa tu hapigwi kama ilivyozoeleka kwa miaka mingi bali humwagiwa Mafuta ya Taa Masikio yake yote Mawili kisha anaambiwa atembee kama Hatua 15 mpaka 25 na baadae Jina lake linabadilika rasmi na kuanza kwa Kuitwa Marehemu Kibaka / Mwizi.

Ya Tatu ( #3 )

Kibaka / Mwizi akikamatwa tu wakati akihojiwa na Waliomkamata kuna Mwamba mwingine pembeni anachanganya Saruji ( Cement ) na Mchanga katika Kikombe cha Uji au Chai kisha Kibaka / Mwizi analazimishwa Kunywa ambapo akibugia tu hiyo Saruji ( Cement ) iliyokorogewa katika Kikombe pamoja na Mchanga ndani ya dakika Kumi ( 10 ) anatuacha rasmi duniani huku Nyumbani Kwao tukianza Kuona Maturubai ya Huzuni na Huruma yakiwekwa na Nyimbo za Pambio zikiimbwa na baadhi ya Ndugu Waliokuwa Wakifaidika nae wakianza Kulia kwani wanajua Jamaa Akizikwa tu Msoto na Maisha magumu yanaanza.

Shikamooni nyote tu mliozianzisha.
 


Ya Kwanza ( #1 )

Kibaka / Mwizi anabebwa na Watu Wawili tu kama Maiti inavyoingizwa katika Jeneza kisha ANATIKISWA ( ANACHEKECHWA ) mara Saba ( 7 ) kisha anaachiwa na baada ya dakika 15 tu anawahishwa Mochwari iliyoko Jirani nae Kusubiri Kuzikwa.

Ya Pili ( #2 )


Shikamooni nyote tu mliozianzisha.
Kamanda hiyo namba mbili...naomba unifafanulie kidogo tafadhali
 
Niliona Iringa wakimgongelea kibaka msumari kichwani.
Miaka kadhaa ( kama Sita hivi ) kuna Dogo Mmoja Jina maarufu Kinyembe ( sasa Marehemu ) aliingia katika 18 za Wachimba Mchanga Mto Mbezi baada ya Kuwaibia sana ambapo wakati wakimpiga kuna Mwamba Mmoja alikuja na Msumari wa Nchi Sita pamoja na Nyundo na Kuushindilia Msumari Wote huo Kichwani mwa Marehemu na akakata Moto ( Akafa ) pale pale.

Historia ya Jina lake la Dogo Kinyembe ni kwamba alikuwa akitembea na Viwembe vingi Mfukoni mwake ambapo akikuomba tu Pesa au akikuamuru umpe akitakacho kutoka Kwako ( hasa Simu na Pesa ) na ukamnyima basi muda huo huo Utachanjwa na Kuchanwa vibaya na Kiwembe Kikali alichonacho na Alichokiseti vyema ( kiustadi ) tu.
 
Asilimia 20 ya watu huuawa bila hatia kabisa kwenye mob justice.

Unaweza kwa bahati mbaya ukawa unapita maeneo ambayo immediately uhalifu umefanyika, wanakukamata wakati unajieleza anajitokeza mtu huko hata hajui kilichoibiwa,kaibiwa nani na nani kaiba anachukua tofali na kumutwanga usoni.

Kuna jamaa mmoja aliwahi kumuua mtoto wake asiye na hatia kwa kukuta watu wanampiga mtu, na yeye akachukua jiwe kumutwanga kichwani kilikuwa na kigiza kuja kuangalia ni mtoto wake mwenyewe
 
Kitu kingine nikuwapa mitaji na elimu na usimamizi na kuwasamehe bure kama Mungu wetu anavyotusamehe kwa makosa na kutuepusha bila kujali unajinsi wetu
Nina uhakika hujawahi Kuibiwa ila Siku ukiibiwa hutokuwa tena na huu Huruma wako wa Kinafiki.

au na Wewe ni Kibaka / Mwizi hivyo unatumia Fursa hii katika huu Uzi wangu Kujitetea Kijanja?
 
Nina uhakika hujawahi Kuibiwa ila Siku ukiibiwa hutokuwa tena na huu Huruma wako wa Kinafiki.

au na Wewe ni Kibaka / Mwizi hivyo unatumia Fursa hii katika huu Uzi wangu Kujitetea Kijanja?
Wewe popoma unafikiri ni nani hajawai kuibiwa????
Sina unafiki kama wako
Shika njia yako huwezi jua pia maisha yake mimi nimefanya uinjilisti kwa imani yetu ya Ukristo sawa
 
Back
Top Bottom