GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Una uhakika kuwa nimesema Kibaka / Mwizi kaiba kwa Former CDF Gen. Mboma?Yaan kibaka kaiba kwa CDF Jenerali Mboma
Pumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika kuwa nimesema Kibaka / Mwizi kaiba kwa Former CDF Gen. Mboma?Yaan kibaka kaiba kwa CDF Jenerali Mboma
Damn Fool.Kwanin ulete hapa vitu ambavyo huna uhakika navyo? aacha majibu ya hovyo.Story yoyote ikitangazwa kwa chombo chochote cha habari ukitaka kupata uhakika wake kawaida unamtafuta aliwasilisha.
Katika kitu cha kijinga ni hiki. Unakumbuka mbokoo kigamboni alienda hadi kwa mkuu wa wilaya na akapewa mtaji 1m hivi na akaahidi kubadilika ila 2021 akauliwa kwakua alikua anaendelea na wizi. Ukishazoea kuiba kazi za halali unaziona ngumuKitu kingine nikuwapa mitaji na elimu na usimamizi na kuwasamehe bure kama Mungu wetu anavyotusamehe kwa makosa na kutuepusha bila kujali unajinsi wetu
Sasa ni zamu ya majizi yote yaliotajwa na CAG kuchekechwa Kama hao vibakaa wa mtaani!!
Ya Kwanza ( #1 )
Kibaka / Mwizi anabebwa na Watu Wawili tu kama Maiti inavyoingizwa katika Jeneza kisha ANATIKISWA ( ANACHEKECHWA ) mara Saba ( 7 ) kisha anaachiwa na baada ya dakika 15 tu anawahishwa Mochwari iliyoko Jirani nae Kusubiri Kuzikwa.
Ya Pili ( #2 )
Kibaka / Mwizi akikamatwa tu hapigwi kama ilivyozoeleka kwa miaka mingi bali humwagiwa Mafuta ya Taa Masikio yake yote Mawili kisha anaambiwa atembee kama Hatua 15 mpaka 25 na baadae Jina lake linabadilika rasmi na kuanza kwa Kuitwa Marehemu Kibaka / Mwizi.
Ya Tatu ( #3 )
Kibaka / Mwizi akikamatwa tu wakati akihojiwa na Waliomkamata kuna Mwamba mwingine pembeni anachanganya Saruji ( Cement ) na Mchanga katika Kikombe cha Uji au Chai kisha Kibaka / Mwizi analazimishwa Kunywa ambapo akibugia tu hiyo Saruji ( Cement ) iliyokorogewa katika Kikombe pamoja na Mchanga ndani ya dakika Kumi ( 10 ) anatuacha rasmi duniani huku Nyumbani Kwao tukianza Kuona Maturubai ya Huzuni na Huruma yakiwekwa na Nyimbo za Pambio zikiimbwa na baadhi ya Ndugu Waliokuwa Wakifaidika nae wakianza Kulia kwani wanajua Jamaa Akizikwa tu Msoto na Maisha magumu yanaanza.
Shikamooni nyote tu mliozianzisha.
Hio ndio adhabu za watu wa kusini,wamakonde wamwera wakikamata mwizi wao adhabu yao unachekechwa tuu1# hiyo wanatumia sana raia wa kigamboni,unachekechwa
Ova
Dah huu ni ukatili wa Hali ya juu SANA
Ya Kwanza ( #1 )
Kibaka / Mwizi anabebwa na Watu Wawili tu kama Maiti inavyoingizwa katika Jeneza kisha ANATIKISWA ( ANACHEKECHWA ) mara Saba ( 7 ) kisha anaachiwa na baada ya dakika 15 tu anawahishwa Mochwari iliyoko Jirani nae Kusubiri Kuzikwa.
Ya Pili ( #2 )
Kibaka / Mwizi akikamatwa tu hapigwi kama ilivyozoeleka kwa miaka mingi bali humwagiwa Mafuta ya Taa Masikio yake yote Mawili kisha anaambiwa atembee kama Hatua 15 mpaka 25 na baadae Jina lake linabadilika rasmi na kuanza kwa Kuitwa Marehemu Kibaka / Mwizi.
Ya Tatu ( #3 )
Kibaka / Mwizi akikamatwa tu wakati akihojiwa na Waliomkamata kuna Mwamba mwingine pembeni anachanganya Saruji ( Cement ) na Mchanga katika Kikombe cha Uji au Chai kisha Kibaka / Mwizi analazimishwa Kunywa ambapo akibugia tu hiyo Saruji ( Cement ) iliyokorogewa katika Kikombe pamoja na Mchanga ndani ya dakika Kumi ( 10 ) anatuacha rasmi duniani huku Nyumbani Kwao tukianza Kuona Maturubai ya Huzuni na Huruma yakiwekwa na Nyimbo za Pambio zikiimbwa na baadhi ya Ndugu Waliokuwa Wakifaidika nae wakianza Kulia kwani wanajua Jamaa Akizikwa tu Msoto na Maisha magumu yanaanza.
Shikamooni nyote tu mliozianzisha.
Hii ya cement kweli
Ya Kwanza ( #1 )
Kibaka / Mwizi anabebwa na Watu Wawili tu kama Maiti inavyoingizwa katika Jeneza kisha ANATIKISWA ( ANACHEKECHWA ) mara Saba ( 7 ) kisha anaachiwa na baada ya dakika 15 tu anawahishwa Mochwari iliyoko Jirani nae Kusubiri Kuzikwa.
Ya Pili ( #2 )
Kibaka / Mwizi akikamatwa tu hapigwi kama ilivyozoeleka kwa miaka mingi bali humwagiwa Mafuta ya Taa Masikio yake yote Mawili kisha anaambiwa atembee kama Hatua 15 mpaka 25 na baadae Jina lake linabadilika rasmi na kuanza kwa Kuitwa Marehemu Kibaka / Mwizi.
Ya Tatu ( #3 )
Kibaka / Mwizi akikamatwa tu wakati akihojiwa na Waliomkamata kuna Mwamba mwingine pembeni anachanganya Saruji ( Cement ) na Mchanga katika Kikombe cha Uji au Chai kisha Kibaka / Mwizi analazimishwa Kunywa ambapo akibugia tu hiyo Saruji ( Cement ) iliyokorogewa katika Kikombe pamoja na Mchanga ndani ya dakika Kumi ( 10 ) anatuacha rasmi duniani huku Nyumbani Kwao tukianza Kuona Maturubai ya Huzuni na Huruma yakiwekwa na Nyimbo za Pambio zikiimbwa na baadhi ya Ndugu Waliokuwa Wakifaidika nae wakianza Kulia kwani wanajua Jamaa Akizikwa tu Msoto na Maisha magumu yanaanza.
Shikamooni nyote tu mliozianzisha.
Ujo njombe bossNamba 3 Ya Mda Mrefu Hapa Njombe.
Asante Mr. POPOMA kwa ukumbusho.
Hii walikua wakifanya soko la manzese tisini mwishoni mpaka 2000,maana watu walikua hawaendi nunua nguo pale kisa vibakaNiliona Iringa wakimgongelea kibaka msumari kichwani.
Duuh,ilikuaje baada ya hapo ?aiseeAsilimia 20 ya watu huuawa bila hatia kabisa kwenye mob justice.
Unaweza kwa bahati mbaya ukawa unapita maeneo ambayo immediately uhalifu umefanyika, wanakukamata wakati unajieleza anajitokeza mtu huko hata hajui kilichoibiwa,kaibiwa nani na nani kaiba anachukua tofali na kumutwanga usoni.
Kuna jamaa mmoja aliwahi kumuua mtoto wake asiye na hatia kwa kukuta watu wanampiga mtu, na yeye akachukua jiwe kumutwanga kichwani kilikuwa na kigiza kuja kuangalia ni mtoto wake mwenyewe
Kwa Sasa TundumaUjo njombe boss
Ulishawa Ibiwa Kitu Ulichokisumbukia Mwaka Mzima Alafu Mwiz Akaiba Kwa Siku Moja?!.Dah huu ni ukatili wa Hali ya juu SANA
Nimeupenda na ipo Siku naweza Kuutumia kwa Wezi wa Kuku wangu wa Kienyeji ninaowafuga Bandani.Dah huu ni ukatili wa Hali ya juu SANA
Akikujibu nitagi tafadhali.Ulishawa Ibiwa Kitu Ulichokisumbukia Mwaka Mzima Alafu Mwiz Akaiba Kwa Siku Moja?!.
1# hiyo wanatumia sana raia wa kigamboni,unachekechwa
Ova
Kiimani Namba Saba ( 7 ) inamaanisha Ukamilisho wa kuwa Kibaka / Mwizi na kuanza kuwa Marehemu wa Kutukuka.Kwann inakuwa hvyo ukichekechwa mara 7?