Natamani sana Kumjua huyu 'Mwamba' aliyebuni hizi Mbinu Mpya za 'Kuua' Vibaka / Wezi Wasumbufu Uswahilini

Natamani sana Kumjua huyu 'Mwamba' aliyebuni hizi Mbinu Mpya za 'Kuua' Vibaka / Wezi Wasumbufu Uswahilini

Kwanin ulete hapa vitu ambavyo huna uhakika navyo? aacha majibu ya hovyo.Story yoyote ikitangazwa kwa chombo chochote cha habari ukitaka kupata uhakika wake kawaida unamtafuta aliwasilisha.
Damn Fool.
 
Kitu kingine nikuwapa mitaji na elimu na usimamizi na kuwasamehe bure kama Mungu wetu anavyotusamehe kwa makosa na kutuepusha bila kujali unajinsi wetu
Katika kitu cha kijinga ni hiki. Unakumbuka mbokoo kigamboni alienda hadi kwa mkuu wa wilaya na akapewa mtaji 1m hivi na akaahidi kubadilika ila 2021 akauliwa kwakua alikua anaendelea na wizi. Ukishazoea kuiba kazi za halali unaziona ngumu
 


Ya Kwanza ( #1 )

Kibaka / Mwizi anabebwa na Watu Wawili tu kama Maiti inavyoingizwa katika Jeneza kisha ANATIKISWA ( ANACHEKECHWA ) mara Saba ( 7 ) kisha anaachiwa na baada ya dakika 15 tu anawahishwa Mochwari iliyoko Jirani nae Kusubiri Kuzikwa.

Ya Pili ( #2 )

Kibaka / Mwizi akikamatwa tu hapigwi kama ilivyozoeleka kwa miaka mingi bali humwagiwa Mafuta ya Taa Masikio yake yote Mawili kisha anaambiwa atembee kama Hatua 15 mpaka 25 na baadae Jina lake linabadilika rasmi na kuanza kwa Kuitwa Marehemu Kibaka / Mwizi.

Ya Tatu ( #3 )

Kibaka / Mwizi akikamatwa tu wakati akihojiwa na Waliomkamata kuna Mwamba mwingine pembeni anachanganya Saruji ( Cement ) na Mchanga katika Kikombe cha Uji au Chai kisha Kibaka / Mwizi analazimishwa Kunywa ambapo akibugia tu hiyo Saruji ( Cement ) iliyokorogewa katika Kikombe pamoja na Mchanga ndani ya dakika Kumi ( 10 ) anatuacha rasmi duniani huku Nyumbani Kwao tukianza Kuona Maturubai ya Huzuni na Huruma yakiwekwa na Nyimbo za Pambio zikiimbwa na baadhi ya Ndugu Waliokuwa Wakifaidika nae wakianza Kulia kwani wanajua Jamaa Akizikwa tu Msoto na Maisha magumu yanaanza.

Shikamooni nyote tu mliozianzisha.
Sasa ni zamu ya majizi yote yaliotajwa na CAG kuchekechwa Kama hao vibakaa wa mtaani!!
 


Ya Kwanza ( #1 )

Kibaka / Mwizi anabebwa na Watu Wawili tu kama Maiti inavyoingizwa katika Jeneza kisha ANATIKISWA ( ANACHEKECHWA ) mara Saba ( 7 ) kisha anaachiwa na baada ya dakika 15 tu anawahishwa Mochwari iliyoko Jirani nae Kusubiri Kuzikwa.

Ya Pili ( #2 )

Kibaka / Mwizi akikamatwa tu hapigwi kama ilivyozoeleka kwa miaka mingi bali humwagiwa Mafuta ya Taa Masikio yake yote Mawili kisha anaambiwa atembee kama Hatua 15 mpaka 25 na baadae Jina lake linabadilika rasmi na kuanza kwa Kuitwa Marehemu Kibaka / Mwizi.

Ya Tatu ( #3 )

Kibaka / Mwizi akikamatwa tu wakati akihojiwa na Waliomkamata kuna Mwamba mwingine pembeni anachanganya Saruji ( Cement ) na Mchanga katika Kikombe cha Uji au Chai kisha Kibaka / Mwizi analazimishwa Kunywa ambapo akibugia tu hiyo Saruji ( Cement ) iliyokorogewa katika Kikombe pamoja na Mchanga ndani ya dakika Kumi ( 10 ) anatuacha rasmi duniani huku Nyumbani Kwao tukianza Kuona Maturubai ya Huzuni na Huruma yakiwekwa na Nyimbo za Pambio zikiimbwa na baadhi ya Ndugu Waliokuwa Wakifaidika nae wakianza Kulia kwani wanajua Jamaa Akizikwa tu Msoto na Maisha magumu yanaanza.

Shikamooni nyote tu mliozianzisha.
Dah huu ni ukatili wa Hali ya juu SANA
 


Ya Kwanza ( #1 )

Kibaka / Mwizi anabebwa na Watu Wawili tu kama Maiti inavyoingizwa katika Jeneza kisha ANATIKISWA ( ANACHEKECHWA ) mara Saba ( 7 ) kisha anaachiwa na baada ya dakika 15 tu anawahishwa Mochwari iliyoko Jirani nae Kusubiri Kuzikwa.

Ya Pili ( #2 )

Kibaka / Mwizi akikamatwa tu hapigwi kama ilivyozoeleka kwa miaka mingi bali humwagiwa Mafuta ya Taa Masikio yake yote Mawili kisha anaambiwa atembee kama Hatua 15 mpaka 25 na baadae Jina lake linabadilika rasmi na kuanza kwa Kuitwa Marehemu Kibaka / Mwizi.

Ya Tatu ( #3 )

Kibaka / Mwizi akikamatwa tu wakati akihojiwa na Waliomkamata kuna Mwamba mwingine pembeni anachanganya Saruji ( Cement ) na Mchanga katika Kikombe cha Uji au Chai kisha Kibaka / Mwizi analazimishwa Kunywa ambapo akibugia tu hiyo Saruji ( Cement ) iliyokorogewa katika Kikombe pamoja na Mchanga ndani ya dakika Kumi ( 10 ) anatuacha rasmi duniani huku Nyumbani Kwao tukianza Kuona Maturubai ya Huzuni na Huruma yakiwekwa na Nyimbo za Pambio zikiimbwa na baadhi ya Ndugu Waliokuwa Wakifaidika nae wakianza Kulia kwani wanajua Jamaa Akizikwa tu Msoto na Maisha magumu yanaanza.

Shikamooni nyote tu mliozianzisha.
Hii ya cement kweli
 
Asilimia 20 ya watu huuawa bila hatia kabisa kwenye mob justice.

Unaweza kwa bahati mbaya ukawa unapita maeneo ambayo immediately uhalifu umefanyika, wanakukamata wakati unajieleza anajitokeza mtu huko hata hajui kilichoibiwa,kaibiwa nani na nani kaiba anachukua tofali na kumutwanga usoni.

Kuna jamaa mmoja aliwahi kumuua mtoto wake asiye na hatia kwa kukuta watu wanampiga mtu, na yeye akachukua jiwe kumutwanga kichwani kilikuwa na kigiza kuja kuangalia ni mtoto wake mwenyewe
Duuh,ilikuaje baada ya hapo ?aisee
 
Vibaka wadogo wadogo wanakera na adhabu zao uwa kubwa kuliko wale vibaka wanaoiba pakubwa kupitiliza huku wakiendelea kutumia gari za umma,nyumba za umma na wakiwa wanapigwa viyoyozi huku wakituona mazoba
 
Hivi ushahidi unakitoshekeza hadi kuchukua where mkononi ? Wengine wanauawa bila kosa .mmm mbaya sana
 
Back
Top Bottom