Natamani sana Kumjua huyu 'Mwamba' aliyebuni hizi Mbinu Mpya za 'Kuua' Vibaka / Wezi Wasumbufu Uswahilini

Hiyo mbinu ya kuchekecha ipo miaka mingi sema ni ngumu kujua mtu alichekechwa maana maiti inakua haina alama yeyote, kuna jamaa flani alichekechwa wakamuachia hakufa pale pale akatembe hadi maskani ila kila akiongea inatoka harufu kali sana kama kitu kimeoza, baada ya siku mbili akakutwa amekufa, kumbe walipomchekecha walivuruga kila kitu tumboni vikawa vimechanganyika akawa anaoza ndani kwa ndani.
 
duh, huyo msumari wa utosi ulikuwa haki yake kabisa.
 
KUNA WATU WANAJUA KUSULUBU
[emoji1]
MIAKA FULANI NLIENDA VINGUNGUTI KUNUNUA NYAMA,KUNA WEZI WALIYOKUBUHU
WALIJICHANGANYA KUWAIBIA WAGOGO ......WAUZA NYAMA
HAO WEZI WALIKUWA SUGU KWELI KWELI,SASA WALIPOKAMATWA
KUNA MIAMBA 2 WALITOKEA WAKAS3MA HAWA BANA WAMETUSUMBUA SASA NGOJA TUWAONESHE ACTION
AISE,JAMAA WALIWAFYEKA JUU YA UNYAYO WALIWAKATA KIMFUPA KILE
MLAINI JUU YA UNYAYO WAKAWAICHIAAA,
HAO WEZI SIJUI KAMA WALIKUJA KUTEMBEA TENA

ova
 
Nawapongeza Watendaji wa Adhabu hiyo na ningekuwa nao karibu Zawadi za Soda zingewahusu.
 
Umenikumbusha Olmatejo style, ni mbaya inamateso makali mno
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Usisubiri ufafanuzi mbona mafuta ya taa yapo tu madukani, nunua kipimo kimoja kisha mwagia kila sikio kijiko kimoja kidogo cha chai, tembea hatua 20 kisha sikilizia, utapata jibu sahihi haraka.
Mada za wanaume hizi....dogo tulia
 
Mada za wanaume hizi....dogo tulia
Ukufafanulie nini, mafuta ya taa nina uhakika unayajua, masikio nina uhakika unayajua kwani hata wewe unayo, kumimina ndani ya sikio ninauhakika unajua na unaweza, sasa unataka ufafanuzi upi! Tatizo ni IQ down.
 
Kuchochea/ kufundisha ukatili dhidi ya utu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…