Natamani siku moja depal au leejay 49 awe mama watoto

Unavyoona huyo Unique Flower ataweza kukubali awe bi mdogo Kwa Lamomy ?

Kwa kuwa wote ni Wajukuu zangu, muhimu ulete mahari tu, japo Unique Flower alisema kabla hujamchumbia umnunulie IST ya kwendea Sokoni 😜

Kazi kwako Mkwe πŸ€—
 
Unavyoona huyo Unique Flower ataweza kukubali awe bi mdogo Kwa Lamomy ?

Kwa kuwa wote ni Wajukuu zangu, muhimu ulete mahari tu, japo Unique Flower alisema kabla hujamchumbia umnunulie IST ya kwendea Sokoni 😜

Kazi kwako Mkwe πŸ€—
Nimecheka sana mpwa, lakini kiukweli mie Lamomy na Unique Flower itabid basi unichugulie mmoja.

Au nikiona sielewi itabidi niende na wewe bibi yao.
 
Babu u
Unavyoona huyo Unique Flower ataweza kukubali awe bi mdogo Kwa Lamomy ?

Kwa kuwa wote ni Wajukuu zangu, muhimu ulete mahari tu, japo Unique Flower alisema kabla hujamchumbia umnunulie IST ya kwendea Sokoni 😜

Kazi kwako Mkwe πŸ€—
BAbu utakuwa mchepuko nakupendaje?? Mie napenda Ist na pia saivi napenda gari fulani amazing nitamwambia 🍎πŸ₯°πŸ˜πŸ˜
 
Toka ujue stori ya vishimo unanisumbua sanaaaa msichana
nilikutuma ulete matangazo?πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ
U know am taken? Mwambie basi mtoa mada.
Changamka mwili na akili wewe komwe, huyo C.H Hajawawahi hata kukuanzishia uzi. Kaka wa watu anakupenda wazi wazi mbele yetu sisi wachawi,πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ halafu unajishaua am taken, i know huko PM mmesha panga na majina ya watoto tayari 🀣 🀣 🀣. Nashukuru kwa kuniachia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…