Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Hivi nikiwa free tutajiibiaUsihofu mama nipo Kwa ajili yako, nipe tu time table imekaaje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi nikiwa free tutajiibiaUsihofu mama nipo Kwa ajili yako, nipe tu time table imekaaje.
Unajua wewe ni mjinga? 🤣🤣🤣nilikutuma ulete matangazo?🤪🤪🤪
Changamka mwili na akili wewe komwe, huyo C.H Hajawawahi hata kukuanzishia uzi. Kaka wa watu anakupenda wazi wazi mbele yetu sisi wachawi,😀😀😀 halafu unajishaua am taken, i know huko PM mmesha panga na majina ya watoto tayari 🤣 🤣 🤣. Nashukuru kwa kuniachia.
Haya mama , neno lako kwangu nisheria , nipo tayari kuzunguka na ww ndani ya hii nchi mpaka nchi zawatu, jambo lamsingi ni wewe kufurahi tu nakuona wacheka ukitabasamu lile tabasamu lako tamuu, pia napenda mideko yako, maana ukideka na kununa ndio nafurahi zaidi, maana napata wasaa mzuri wakukumbeleleza na kukulea kama mtoto mchanga. Karibu sana ndani ya moyo wangu mtoto mzuri Unique Flower 🌹. Nakupenda kipenzi nakupenda sana.Hivi nikiwa free tutajiibia
Siku moja natamani sana @Depal au @Leejay49 awe mama watoto wangu msiniulize ni kwanini.
Tafuta mrembo hapo mtaani mpachike jina la utani depal or leejay umuweke na kitambi awe mama watoto wako.
Usiumize hisia na kichwa ...simple tu rafiki.
Hahaha................. kwahiyo unataka nipindue Meza Kwa Vijana 😜BAbu utakuwa mchepuko nakupendaje?? Mie napenda Ist na pia saivi napenda gari fulani amazing nitamwambia 🍎🥰😍😍
Aikoooo!Nimekusoma bro🤣
Mjomba wako ananiita bro wewe unaniita Binti niwaeleweje? au saumu kali? 🤣🤣 😀 😀 Ok ngoja niamini mpo weekend!🤣🤣Mimi niko busy na mpira sahivi, mambo yako na michuzi ya mbwa baki nayo binti
Mimi Babu Kijana, na hao uliowataja ni Wajukuu zangu niliowalea na kuwakuza machoni panguNimecheka sana mpwa, lakini kiukweli mie Lamomy na Unique Flower itabid basi unichugulie mmoja.
Au nikiona sielewi itabidi niende na wewe bibi yao.
Kama tushazipata tunawaachia wengine mkuuUnapishana na fursa
Em tune 223 kwanzaAikoooo!
Mjomba wako ananiita bro wewe unaniita Binti niwaeleweje? au saumu kali? 🤣🤣 😀 😀 Ok ngoja niamini mpo weekend!🤣🤣