Natangaza kuhama Kwa muda jamii sport

Natangaza kuhama Kwa muda jamii sport

Screenshot_20241127-142438_WhatsAppBusiness.jpg

Daah zimejua kuwavuruga...
Ila na mm nikifisha miaka 40 nitaacha kushabikia naanza kuimba kwaya kanisani...
 
Baki peke yako
Na lijukwaa lako
Na makolo wenzako
Sisi hili jukwaa hatulataki
Nyuzi za hili jukwaa zinakera😆
Tusema mzunguko wa pili tuwapige 5 tutambe tena
Kwendraa huko nitakua nakufata huko huko Jukwa la siasa...hahaha
 
Kama hoja za kusifia yanga mbovu hapa jukwaani ndo unazitoa je huko jukwaa la siasa unaweza kujadili bajeti ya nchi?
 
Mngelijua walivyojipanga kwenye huu uchaguzi na WA mwakani wapinzani wangewaachia Tu. Wengi watapotezwa waziache familia zao. Mgombea wao WA Urais atashinda 90 plus asilimia😔😔😔
Wajitoe tu.
 
Nimeamka kuhamia jukwaa la siasa
Sasa
Napumzika ubishi wa Simba na Yanga
Nataka nianze kujadili mawazo mazito ya siasa
Nina akili na maarifa makubwa ambayo yanaweza kusaidia Taifa
Tujadili uchaguzi na maendeleo ya Taifa letu
Tujadili rasimali zetu zinazopotea midomoni mwa mbwa mwitu
Mijadala ya mpira haileti wali kuku mezani
Tuamke Watanganyika tumelala sana
Wale wadau wa nyuzi zangu tukutane jukwaa la siasa
Huko nitamwaga nondo
Kwa wale tuliopishana kauli tusameheane
Asanteni Watanganyika wenzagu
Mwisho
Yanga bingwa
Ni zile goli mbili moja la colibaly ndio yanakuhamisha ila tunaheshimu maamuzi yako!
 
Nimeamka kuhamia jukwaa la siasa
Sasa
Napumzika ubishi wa Simba na Yanga
Nataka nianze kujadili mawazo mazito ya siasa
Nina akili na maarifa makubwa ambayo yanaweza kusaidia Taifa
Tujadili uchaguzi na maendeleo ya Taifa letu
Tujadili rasimali zetu zinazopotea midomoni mwa mbwa mwitu
Mijadala ya mpira haileti wali kuku mezani
Tuamke Watanganyika tumelala sana
Wale wadau wa nyuzi zangu tukutane jukwaa la siasa
Huko nitamwaga nondo
Kwa wale tuliopishana kauli tusameheane
Asanteni Watanganyika wenzagu
Mwisho
Yanga bingwa
Yanga ikishinda mechi tatu mfululizo, utarudi hapa kwenye michezo
 
Back
Top Bottom