Baki peke yakoDaah nitamtania nani mimi jamani uwiiiiii...
View attachment 3163507
BM anakupa moyo unaweza kuja Simba
Kwendraa huko nitakua nakufata huko huko Jukwa la siasa...hahahaBaki peke yako
Na lijukwaa lako
Na makolo wenzako
Sisi hili jukwaa hatulataki
Nyuzi za hili jukwaa zinakera😆
Tusema mzunguko wa pili tuwapige 5 tutambe tena
Ibenge anakusalimiaTulia kolo
Mngelijua walivyojipanga kwenye huu uchaguzi na WA mwakani wapinzani wangewaachia Tu. Wengi watapotezwa waziache familia zao. Mgombea wao WA Urais atashinda 90 plus asilimia😔😔😔Kalinde kura mkuu.
Ni zaidi ya uchafuzi😔😔Uchaguzi au uchafuzi?
Wajitoe tu.Mngelijua walivyojipanga kwenye huu uchaguzi na WA mwakani wapinzani wangewaachia Tu. Wengi watapotezwa waziache familia zao. Mgombea wao WA Urais atashinda 90 plus asilimia😔😔😔
Ni zile goli mbili moja la colibaly ndio yanakuhamisha ila tunaheshimu maamuzi yako!Nimeamka kuhamia jukwaa la siasa
Sasa
Napumzika ubishi wa Simba na Yanga
Nataka nianze kujadili mawazo mazito ya siasa
Nina akili na maarifa makubwa ambayo yanaweza kusaidia Taifa
Tujadili uchaguzi na maendeleo ya Taifa letu
Tujadili rasimali zetu zinazopotea midomoni mwa mbwa mwitu
Mijadala ya mpira haileti wali kuku mezani
Tuamke Watanganyika tumelala sana
Wale wadau wa nyuzi zangu tukutane jukwaa la siasa
Huko nitamwaga nondo
Kwa wale tuliopishana kauli tusameheane
Asanteni Watanganyika wenzagu
Mwisho
Yanga bingwa
Yanga ikishinda mechi tatu mfululizo, utarudi hapa kwenye michezoNimeamka kuhamia jukwaa la siasa
Sasa
Napumzika ubishi wa Simba na Yanga
Nataka nianze kujadili mawazo mazito ya siasa
Nina akili na maarifa makubwa ambayo yanaweza kusaidia Taifa
Tujadili uchaguzi na maendeleo ya Taifa letu
Tujadili rasimali zetu zinazopotea midomoni mwa mbwa mwitu
Mijadala ya mpira haileti wali kuku mezani
Tuamke Watanganyika tumelala sana
Wale wadau wa nyuzi zangu tukutane jukwaa la siasa
Huko nitamwaga nondo
Kwa wale tuliopishana kauli tusameheane
Asanteni Watanganyika wenzagu
Mwisho
Yanga bingwa