Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukizimaliza,unitag!Nasoma post zako za kabla ya Lowassa kwenda CDM
UTAJIRI C PESA hata Mawazo chanya pia ni UTAJIRI. Mo C TAJIRI.Hahahaha eti tajiri kwani wee mooo
Huna aibu kuisifia CDM? Watu vigeugeu sana. Mara Fulani fisadi hasafishiki Mara hapana ni Malaika! Ridiculous!!Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .
Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .
Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Mungu ibariki Chadema .
Siku wakishika dola na ukakutana nao ktk uso wa tofauti ndipo utakapojua kujiapiza siyo sawa.usicheze na wanasiasa,sema tu hv.kama ni mapenzi ya MUNGU juu ya watu hao na iwe..kwishaMimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .
Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .
Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Mungu ibariki Chadema .
Eti tajiri..vijana wa ufipa mnayo matatizo...vipesa vya madafu ulivyonavyo unasema kijana tajiri. Tajiri hana muda wa kushinda hapa akipwayaya...Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .
Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .
Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Mungu ibariki Chadema .
"Vipesa vya madafu"Eti tajiri..vijana wa ufipa mnayo matatizo...vipesa vya madafu ulivyonavyo unasema kijana tajiri. Tajiri hana muda wa kushinda hapa akipwayaya...
Wewe unamjua Mungu yupi au umekaririshwa?Mungu yupi?