Natangaza kuiunga mkono CHADEMA katika maisha yangu yote yaliyosalia hapa duniani, Mungu nisaidie

Natangaza kuiunga mkono CHADEMA katika maisha yangu yote yaliyosalia hapa duniani, Mungu nisaidie

Nnja na maisha ya kujipendekeza ndivyo vinavyo wapeleka vijana Wengi CCM
 
Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .

Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .

Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.

Mungu ibariki Chadema .
Huna aibu kuisifia CDM? Watu vigeugeu sana. Mara Fulani fisadi hasafishiki Mara hapana ni Malaika! Ridiculous!!
 
Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .

Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .

Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.

Mungu ibariki Chadema .
Siku wakishika dola na ukakutana nao ktk uso wa tofauti ndipo utakapojua kujiapiza siyo sawa.usicheze na wanasiasa,sema tu hv.kama ni mapenzi ya MUNGU juu ya watu hao na iwe..kwisha
 
We naye umechelewa. Mi nilidhani ni lizaboni pekee dye bado CCM.
 
Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .

Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .

Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.

Mungu ibariki Chadema .
Eti tajiri..vijana wa ufipa mnayo matatizo...vipesa vya madafu ulivyonavyo unasema kijana tajiri. Tajiri hana muda wa kushinda hapa akipwayaya...
 
Itabidi uchunguzwe utajiri wako kama uliupata kwa njia sahihi maana kuunga mkono mafisadi lazima na ww use fisadi
 
Eti tajiri..vijana wa ufipa mnayo matatizo...vipesa vya madafu ulivyonavyo unasema kijana tajiri. Tajiri hana muda wa kushinda hapa akipwayaya...
"Vipesa vya madafu"

Hivyo hivyo vipesa vinatosha kabisa kukufanya tajiri hapa tz. Muda wa mtu anaamua mwenyewe autumieje, yeye na utajiri wake aneamua kuwa JF, tatizo liko wapi? Anakukera? Basi post zake usisome wewe pita tu kama vile hujaziona!
 
Back
Top Bottom