Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipo kwenye high speed kijana wangu , na ninavyoona hutaweza kunistopisha baada ya wewe kuja hapa na kujin'gatan'gataNimeongea nae mda wa lunch aisee,kumbe uko serious una msumbua mke wa mtu?
inabidi niku fungulie mashtaka ya kutaka kunyang'anya mke
maana nyie watu hamtanii kumbe kwenye hii sekta
unachukua maneno yangu sio? hahahahahUnafanya nishindwe kufanya kazi!
Unavo cheka una nikumbusha mbali sana
natamani nije home sasa hivi
hili ni tangazo tu kwa mwenye pingamizi, mambo mengine mazuri to come soon)🙂:.........................????????
:alien::alien::alien:.... Mbona watu wa high table hatukutaarifiwa!!
mweeeeeeeeeeeeee
ngoja aseme mwenyewe
minasubiri apa upenuni niskie.....SKUTAKIIIII......i wont marrrrrrrrrrrrrrrrrrr u............tambaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....unkomeeeeeeeeee:rant:
mmhh bibiemweeeeeeeeeeeeee
ngoja aseme mwenyewe
minasubiri apa upenuni niskie.....SKUTAKIIIII......i wont marrrrrrrrrrrrrrrrrrr u............tambaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....unkomeeeeeeeeee:rant:
ivuga na speaker naona mnalumbana tu hapa ila mamjui kuwa vita vya panzi furaha kwa.............? jazeni wenyewe mtashangaa watu tushabeba kimya kimya .
ukipenda niite double biiiiii,tchao
mmhh jamani wewe
na vita vya kunguru ni furaha kwa nani??
i mean vita ya ivuga na speaker furaha kwa double biiii,tchao
mmmhhhh
Kivipi??
kivipi tena? wewe hujawahi kusikia ndoa imevunjika mbele ya padri? binti kaulizwa swali kasema sipo tayari kuishi naye hadi kufa na kuzikana.
hahahahaah lol
lakini waweza kuwa tayari
kuishi naye mpaka benk itakapo kauka..
benki huwa haikaukagi, hataa kama kukiwa na crisis
mweeeeeeeeeeeeee
ngoja aseme mwenyewe
minasubiri apa upenuni niskie.....SKUTAKIIIII......i wont marrrrrrrrrrrrrrrrrrr u............tambaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....unkomeeeeeeeeee:rant:
mmhh bibie
uko karibu karibu na jibu langu ...
kivipi tena? wewe hujawahi kusikia ndoa imevunjika mbele ya padri? binti kaulizwa swali kasema sipo tayari kuishi naye hadi kufa na kuzikana.
mmhhhh
yangu mbona kila
nikicheck inasema Balance $0
mmmhhh na hiyo unaiitaje??
wewe ujui kazi ya ulimi? sio zama za ujima izi ,bibie atakuhadithia bro!!utashangaa tu mke kakukimbia kama ujui kuutumia ulimiSasa black bat wewe mbona uta muumiza mwenzako kila sehemu
utakayo tumia ulimi?
Maana wewe kila siku unalamba ukuta na ulimi umekomaa sana,
sehem nyingine laini hazihitaji ulimi mgumu bana!