Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wana jf natangaza ndoa
mwenye pingamizi aweza litoa
ndani ya saa 24 kuanzia sasa
na kama pingamizi hakuna
basi ndoa itakuwa imehalalishwa
na ujue kuwahi sio kupata
na naomba pingamizi lisiwe na jazba
kwani kaumbwa na mola
akampa urembo,utashi na hekima
kwa sababu yake siwezi hata kulala
![]()
![]()
![]()
i mean vita ya ivuga na speaker furaha kwa double biiii,tchao
Najua ivugaaaaaa,
anataka kulia saivi hahaha
wewe ujui kazi ya ulimi? sio zama za ujima izi ,bibie atakuhadithia bro!!utashangaa tu mke kakukimbia kama ujui kuutumia ulimi
wewe popo bawa kaa kimya, najua umemfuata speaker, nenda kale naye sahani moja huko, ila honey wangu sahau
hahaha,dah!
Angalia usiweke bifu na popo bawa ohooooo!
Sihitaji kukwambia maumivu ya kumkosa afro na popo akaja kukusalimia haha
huyo popo ni wako , mi nshamchukua kimwana afro na wewe chukua popo huyo, aliyeanza kubishana na popo ndio imekula kwake so hadi hapo imekula kwako mzeya, bwa ha ha ha ha !!!!
Kikombe hichi chaAD utakikwepaje hichi kikombe???
AD utakikwepaje hichi kikombe???
1.To find a woman,you need time and money,there fore
women=Time*money
2."Time is money",so
Time=money
3.Therefore,
women=money*money
women=(money)^2
4.Money is the root of all problems
money=(problems)^1/2
Therefore,...
women=((problems)^1/2)^2
women=problems
hakikwepeki coz the only mtu aliyeleta pingamizi ameshatukana wakunga tayari hadi mida hii, haihitaji kuwa na tochi kujua kuwa speaker keshafika mwisho wa reli
Afro Denzi unaolewa?Ivunga jamani we mchokozi..
mmmhhhh..
Hivi unakubaligi kushindwa kweli???
Kikombe hichi cha
hukumu itaibidi nipitie mwenyewe
bila wanafunzi wangu hahaahahha lol
my dear siku inakuja haraka kupita kiasi..
mmmhhhhh