Natangaza rasmi kuachana na siasa

Natangaza rasmi kuachana na siasa

Mimi siyo siasa tuu, nilishaachana na mambo ya nchi yangu Tanzania. Mimi ni MwanaCCM ila pia napenda mchango wa upinzani kwenye nchi yetu.

Ila nilikereka kuona wana CCM tunakuwa machawa sana enzi za Magufuli na za huyu aliyepo. Nikakereka zaidi kuona Wapinzani wanahamia CCM na kuwasaliti Wapenda mageuzi ambao walilinda kura za Wapinzani, na wengine kurisk maisha yao. Shwaini kabisa!

Sasa hivi naangalia maisha yangu tu. Kama CCM wakiona waiuze nchi au waigawane miongoni mwao(Viongozi wachache) wafanye tu hivyo, I care no more.

Nasema hivi; hata Wamalawi wakisema watuvamie mimi sitajitolea kama nilivyofanya enzi zile za Idi Amin. Nitabaki home wanikute. Hii nchi inakera sana yaani.
 
Bado hujasema, kunasiku utakuja kimuomba radhi hayati Magufuli.

Nisiku utakapo gundua kwamba Magu ndio alikuwa mpinzani wa kweli.

Huyo DJ na mafisadi ja kijani laomojatu ndiomana wakashirikiana na mafisadi kumchukia Magu.

Nawatu kama wewe na wenzako mkajanzwa upepo na kwamakududi ama kwa ujinga au tamaa mkamchukia mtu aliekuwa nauzalendo nanchiyake bila ya sababu za msingi.

Sikuzote uwongo hupanda ndege na kuwahi kufika, ukweli hujapolepole na kudhihirika bayana.

Muda nimwalimu.
 
Yeyote aliyekubaliana na suala la EL kuingia CDM na eti kuwa mgombea urahisi na kuzungusha mikono eti EL mabadiriko pale ndio nilipogundua watu wengi ni vichaa na watanzania wengi tunamatatizo ya akili.
 
Bado hujasema, kunasiku utakuja kimuomba radhi hayati Magufuli.

Nisiku utakapo gundua kwamba Magu ndio alikuwa mpinzani wa kweli.

Huyo DJ na mafisadi ja kijani laomojatu ndiomana wakashirikiana na mafisadi kumchukia Magu.

Nawatu kama wewe na wenzako mkajanzwa upepo na kwamakududi ama kwa ujinga au tamaa mkamchukia mtu aliekuwa nauzalendo nanchiyake bila ya sababu za msingi.

Sikuzote uwongo hupanda ndege na kuwahi kufika, ukweli hujapolepole na kudhihirika bayana.

Muda nimwalimu.
Naunga mkono hoja mwendazake ndio alikuwa mzalendo namba moja na mpinzani wa kweli.Upinzani utakuja kutokeaga tena ndani ya chama tawala kama historia ikija kujirudia ,nje ya ccm siamini kama kulishawahi kuwa na upinzani wa kweli kuanzia NCCR ya mrema .
 
Hii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.

Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.

Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.

Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.

Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.

Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.

Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.

Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .

Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.

Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .

Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM

Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.

Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.

Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..

Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.

Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
Mwanzo nzuri hama kabisa
 
M
Hii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.

Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.

Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.

Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.

Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.

Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.

Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.

Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .

Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.

Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .

Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM

Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.

Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.

Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..

Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.

Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
Ukweli ni kuwa Mbowe kazengua kwa uchu wa madaraka. Chadema itamfia mkononi.
 
Bado hujasema, kunasiku utakuja kimuomba radhi hayati Magufuli.

Nisiku utakapo gundua kwamba Magu ndio alikuwa mpinzani wa kweli.

Huyo DJ na mafisadi ja kijani laomojatu ndiomana wakashirikiana na mafisadi kumchukia Magu.

Nawatu kama wewe na wenzako mkajanzwa upepo na kwamakududi ama kwa ujinga au tamaa mkamchukia mtu aliekuwa nauzalendo nanchiyake bila ya sababu za msingi.

Sikuzote uwongo hupanda ndege na kuwahi kufika, ukweli hujapolepole na kudhihirika bayana.

Muda nimwalimu.
We nae sijui unaongea nini hapa.

Huyo Magu alikuwa mpuuzi sana kuwachukia Wapinzani na kuwaumiza. Yeye alitaka wamuimbie mapambio amekuwa nani? Alipaswa aelewe kuwa kupingwa ni jambo la kawaida, na walikuwa wanatimiza wajibu wao.

Magufuli alikuwa anasema "Maendeleo hayana Chama!" Kisha kwenye jukwaa hilo hilo anasema "Nyie watu wa Jimbo X kama mtachagua mbunge wa Chadema sitawajengea barabara na maji siwaletei. Chagueni CCM". Jinga kabisa lile kichwa kama korosho.
 
wanasiasa wanakuaga na price tag ndio maana hawatakiwi kuaminika kabisa
Mwenyekiti akiwa na wanachama 2050.
IMG-20241222-WA0003.jpg
 
Hii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.

Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.

Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.

Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.

Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.

Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.

Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.

Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .

Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.

Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .

Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM

Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.

Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.

Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..

Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.

Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
Wakati mwingine ni busara kuteremka njiani kabla ya mwisho wa safari Ili ujitibu maumivu na kurudisha afya.
 
Back
Top Bottom