a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 611
- 993
sio kwamba wanapiga mpunga peke yake tu..(ila ni kama ma UNDERCOVER).wanaweza hata kukuchoresha/kukuchomesha/kukulengesha.Nikifikilia familia Marehehemu Mzee Ali Kibao halafu kumbe kuna vipimbi vinapiga miamala wenzao wanakufa kweli
Naunga mkono hoja mwendazake ndio alikuwa mzalendo namba moja na mpinzani wa kweli.Upinzani utakuja kutokeaga tena ndani ya chama tawala kama historia ikija kujirudia ,nje ya ccm siamini kama kulishawahi kuwa na upinzani wa kweli kuanzia NCCR ya mrema .Bado hujasema, kunasiku utakuja kimuomba radhi hayati Magufuli.
Nisiku utakapo gundua kwamba Magu ndio alikuwa mpinzani wa kweli.
Huyo DJ na mafisadi ja kijani laomojatu ndiomana wakashirikiana na mafisadi kumchukia Magu.
Nawatu kama wewe na wenzako mkajanzwa upepo na kwamakududi ama kwa ujinga au tamaa mkamchukia mtu aliekuwa nauzalendo nanchiyake bila ya sababu za msingi.
Sikuzote uwongo hupanda ndege na kuwahi kufika, ukweli hujapolepole na kudhihirika bayana.
Muda nimwalimu.
Mwanzo nzuri hama kabisaHii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.
Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.
Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.
Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.
Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.
Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.
Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.
Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .
Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.
Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .
Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM
Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.
Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.
Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..
Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.
Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
Kaahtukia utapeli chadema
Ukweli ni kuwa Mbowe kazengua kwa uchu wa madaraka. Chadema itamfia mkononi.Hii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.
Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.
Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.
Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.
Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.
Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.
Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.
Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .
Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.
Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .
Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM
Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.
Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.
Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..
Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.
Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
We nae sijui unaongea nini hapa.Bado hujasema, kunasiku utakuja kimuomba radhi hayati Magufuli.
Nisiku utakapo gundua kwamba Magu ndio alikuwa mpinzani wa kweli.
Huyo DJ na mafisadi ja kijani laomojatu ndiomana wakashirikiana na mafisadi kumchukia Magu.
Nawatu kama wewe na wenzako mkajanzwa upepo na kwamakududi ama kwa ujinga au tamaa mkamchukia mtu aliekuwa nauzalendo nanchiyake bila ya sababu za msingi.
Sikuzote uwongo hupanda ndege na kuwahi kufika, ukweli hujapolepole na kudhihirika bayana.
Muda nimwalimu.
Democracy ya Africa tunaijua wenyewe.Nyie ni wajinga. Bora mmeona wenyewe.
Aliyewaaminisha kuwa Tz kuna upinzani ni nani?
Yaani upinzani upi?
wanasiasa wanakuaga na price tag ndio maana hawatakiwi kuaminika kabisaHao wanaopiga miamala hata hayo mambo ya utekaji kuna namna wanayajua vizuri tu🤔
Mwenyekiti akiwa na wanachama 2050.wanasiasa wanakuaga na price tag ndio maana hawatakiwi kuaminika kabisa
Tulia ndugu spika au ?Tulia waambia chadema ni waganga njaa
Wakati mwingine ni busara kuteremka njiani kabla ya mwisho wa safari Ili ujitibu maumivu na kurudisha afya.Hii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.
Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.
Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.
Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.
Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.
Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.
Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.
Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .
Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.
Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .
Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM
Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.
Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.
Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..
Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.
Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.