Ndio,Apambane akiwa hapo hapo chadema?
Uchaguzi Bado na matokeo Bado,
Huo uelekeo Si mzuri, maana gharama za kujenga chama ukakiacha Kisha kuanza UPYA ni kubwa,
Mbona CCM husubiri muda uamue ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio,Apambane akiwa hapo hapo chadema?
Kwamba Lissu akishinda ndio atarudi??Mkuu technically subiri mpaka baada ya kura kupingwa na wajumbe kumweka Mbowe.....
Baada ya matokeo kutangazwa na Mbowe ndiye mshindi basi atakakoelekea Lissu nitakuwa naye isipokuwa tu akielekea ccm simfuati.
CCM ikigawanyika katikati ndo Utakua upinzani wa kweli wakufanya ivyo ni Tiss kukigawa chama katikati ndo na mendeleo yakuepo sanaNaunga mkono hoja mwendazake ndio alikuwa mzalendo namba moja na mpinzani wa kweli.Upinzani utakuja kutokeaga tena ndani ya chama tawala kama historia ikija kujirudia ,nje ya ccm siamini kama kulishawahi kuwa na upinzani wa kweli kuanzia NCCR ya mrema .
Kenge kweli mbowe hivi kumbe kazi yenu kujenga miaka yote hiyo
Bora angefungwa tu ile kesi lissu awe chair.Mkisusa Mbowe anasepa na Fuko la Ruzuku.
Akawadanganye wajingaBilioni mbili sio mchezo jamani ni pesa nyingi wala tusidanganyane. Kuzikataa kunahitaji roho ya malaika
Njoo CHAUMA kaka Heche,Lema na Lissu soon wanakujaHii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.
Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.
Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.
Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.
Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.
Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.
Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.
Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .
Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.
Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .
Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM
Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.
Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.
Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..
Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.
Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
🤣🤣🤣🤣🤣Ni jambo la busara mno tumetoka chadema bila kuvunjwa miguu na kutekwa kwa maslai ya kile kikoba cha familia .
Mtu mwenye akili timamu hawezi kushabikia siasa.Hii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.
Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.
Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.
Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.
Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.
Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.
Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.
Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .
Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.
Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .
Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM
Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.
Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.
Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..
Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.
Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
Uongo unakusaidia nini? Wewe siyo mchaggaHii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.
Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.
Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.
Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.
Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.
Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.
Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.
Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .
Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.
Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .
Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM
Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.
Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.
Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..
Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.
Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
sio kwamba wanapiga mpunga peke yake tu..(ila ni kama ma UNDERCOVER).wanaweza hata kukuchoresha/kukuchomesha/kukulengesha.
noma sana..hatari sana.