Natangaza rasmi kuachana na siasa

Natangaza rasmi kuachana na siasa

Moderator
Hii Forum sasa imekuwa mali ya Chadema? Hakuna habari nyingine ila Chadema TUUU? Ebu tuheshimiane ndugu moderator
 
Hii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.

Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.

Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.

Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.

Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.

Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.

Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.

Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .

Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.

Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .

Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM

Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.

Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.

Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..

Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.

Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
Unaonekana nawe ni pandikizi vile vile.

Kwamba unajitoa katika kipindi ambacho umoja na WIVU MKUBWA 😅 unahitajika chamani!!

Na hakukuwa na umuhimu wowote kutaja kabila lako!!!
 
Hii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.

Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.

Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.

Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.

Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.

Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.

Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.

Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .

Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.

Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .

Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM

Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.

Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.

Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..

Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.

Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
Dunia haitasimama ukigoma kutembea nayo...
 
Bado hujasema, kunasiku utakuja kimuomba radhi hayati Magufuli.

Nisiku utakapo gundua kwamba Magu ndio alikuwa mpinzani wa kweli.

Huyo DJ na mafisadi ja kijani laomojatu ndiomana wakashirikiana na mafisadi kumchukia Magu.

Nawatu kama wewe na wenzako mkajanzwa upepo na kwamakududi ama kwa ujinga au tamaa mkamchukia mtu aliekuwa nauzalendo nanchiyake bila ya sababu za msingi.

Sikuzote uwongo hupanda ndege na kuwahi kufika, ukweli hujapolepole na kudhihirika bayana.

Muda nimwalimu.
Sio magu boss, yeye ndio mwenye mchango mkubwa wa kuharibu demokrasia ya nchi hii. Sasa hivi tumebaki na chaguzi za kishenzi mbegu aliyootesha yeye. Alaaaniwe dhalimu magu huko motoni alipo.
 
Watanzania tunapenda kususia sana ni utamaduni mbaya. Mimi nipo US kuna chama cha democratic kimeshidwa lakini watu hawasusii wanajipanga
Huko kuna chaguzi za haki, huku chaguzi ni za kishenzi. Hivyo watu hawakati tamaa bali wanapuuza siasa za kihuni.
 
Hii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.

Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.

Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.

Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.

Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.

Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.

Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.

Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .

Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.

Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .

Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM

Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.

Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.

Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..

Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.

Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
Mbowe alipompokea Lowassa Lissu alikuwa wapi wote ni wale wale tu shtuka usimtegemee binadamu!
 
Hii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.

Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.

Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.

Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.

Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.

Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.

Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.

Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .

Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.

Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .

Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM

Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.

Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.

Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..

Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.

Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.

Hapo uliposema unakunywa bia ndio nimejua hii post yake imeingozwa na nini kuiandika. Ww huwezi kuacha siasa wala kuingia humu jf maana una urahibu wa jf na siasa.
 
Hii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.

Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.

Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.

Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.

Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.

Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.

Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.

Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .

Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.

Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .

Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM

Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.

Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.

Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..

Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.

Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
Bado hamjasema kumma nyinyi...
Badooo... Mpo wengi sanaa
 
Lipumba aliandika~ga na barua wakati ule, alipomaliza kula hela za wale jamaa akarudi kwenye chama. Wilbroad akatangaza kustaafu siasa....vina muda basi! kiko wapi ? Leo hii amejaa tele kwenye majukwaa ya siasa.

Siasa ni uongo. Ukilazimisha kuwa ukweli utaishia kuumia. Siasa ni UCHAFU, ukiingia kwenye siasa lazima uchafuke kwa namna yyt. Siasa ni propaganda. Siasa ni uuaji, ufisadi, ubadhirifu, utapeli, uvivu, uchochezi, ulafi, ujambazi, utekaji, uadui na mengine mengi.

Lakini siasa ni ajira. Hii ya kusimama majukwaani kuhadaa watu kwamba unaomba wakuchague ili ukawatetee ni utapeli tu kama ilivyo kwa utapeli mwingine. Ndio sababu mwanasiasa analipwa mshahara na marupurupu kedekede.


Wanasiasa wote ni walewale hakuna mwenye afadhali kwasababu ya nature ya siasa ilivyo. Huwezi kuwa mkweli ukadumu kwenye siasa katu asilani abadani haitokaa itokee.

If you can't fight them join them
💯✔️
 
Hii I'd hamtaiona tena natangaza kuachana na siasa maisha yangu yote.

Sina Cha kuongeza ila Mimi ni mmoja wa watu nilio risk maisha yangu na biashara zangu kupigania CHADEMA.

Account yangu ya biashara ilifungwa kipindi cha utawala wa Magufuli sababu ya kukataa ujinga wa utawala wake.

Sitaki kuongea mengi ila niseme tu ukweli Mimi ni Mchaga pure kabisa nimekuwa nikisapoti CHADEMA sio kwa sababu ya Mbowe kuwa mchaga hapana.

Nimekuwa nikisapoti CHADEMA kwa sababu ni chama ambacho angalau niliona kina mwanga wa kuleta mageuzi.

Nimekuwa mwanachama wa CHADEMA toka mwaka 2009 baada ya kumaliza kidato Cha nne nikiwa mdogo kabisa niseme tu damu yangu ilikuwa CHADEMA kabisa pure maana sijawai kuwa CCM.

Nilianza kuwa na mashaka mwaka 2015 baada ya Mbowe kumpokea Lowassa kwenye chama lakini nikasema bado siwezi kuasi chama.

Kwa alichokifanya Mbowe kututukana wanachama kwamba hatuna mchango wowote ndiye mwenye chama na anaweza kufanya anachotaka nimejiridhisha bila mashaka Mbowe ni Tapeli, Mwizi, Muongo, Mfanyakazi wa CCM , kibraka wa Samia na Fisadi Kama mafisadi mengi yaliyo CCM .

Nang'atuka CHADEMA sitoshiriki aina yeyote ya siasa wala kutumia hata mia yangu kwenye chama na vyama mfu vya upinzani inatosha.

Siwezi kufanya siasa za unafiki siwezi kuwa mnafiki nitarudi kwenye siasa siku Tundu Lissu akianzisha chama kipya na ndani yake kusiwemo wafanyakazi wa CCM na majambazi wa siasa za Tanzania .

Poleni kwa ndugu zangu mliopata misukosuko wakati nasumbuliwa na utawala wa CCM

Poleni marafiki zangu ambao mlipata shida nilipokuwa napata misukosuko ya kisiasa.

Poleni Sana ndugu wa watu wote waliopotea mpaka leo hawajapatika.

Poleni Sana wote waliofariki Kama Chacha Wangwe, Kibao, Mawazo, Akwilina, Zoka, Mwangosi na wengine ambao sijawataja!!..

Poleni poleni Sana watu wote niliowatukana kwa sababu ya ya chama natubu naomba mnisamehe maisha yaendelee!!.

Nipo Moshi Mlliopo Moshi Karibuni tule nyama na bia.
Pole na Kila la heri siasa ni maisha, Yuko busy kumtafutia kura lissu, Mabadiliko yaanzie ndani, twende na lissu
 
Back
Top Bottom