1. Inabidi ufahamu jambo moja, mwanamke kuacha kutongozwa, ni pale anapofariki.Habari wakuu,
Mimi ni ME, wiki chache zijazo natarajia kuingia katika ndoa, naomba wenye uzoefu na wanaofahamu mambo wanipe maneno ya hekima yatakayonisaidia kwenye maisha ya ndoa. Usiniambie kataa ndoa kwakua nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Hata ndoa haijafungwa umeanza kuja mitandaoni ku google, alooHabari wakuu,
Mimi ni ME, wiki chache zijazo natarajia kuingia katika ndoa, naomba wenye uzoefu na wanaofahamu mambo wanipe maneno ya hekima yatakayonisaidia kwenye maisha ya ndoa. Usiniambie kataa ndoa kwakua nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Sasa wewe unachofanya ni kuhalaliaha hilo suala, yani ni jambo ambalo halikubaliki kwa namna yoyote. Mzabzab ungekua umeoa usingesema hayo manenosasa naharibu nini wakati ndio hali halisi ya sasa kwenye ndoa nyingi.
wewe tatizo lako unataka kudanganyana kuwa ni wakamilifu wakati ukishakubali madhaifu yetu tunakuwa huru.
mie siewezi kuoa mwanamke breki pumbuz alafu nitegemee kuwa hatagegedwa na wanaume wengine eti tuu kisa tuna cheti cha ndoa. thats just inane.
Kumbuka tu mke hawezi kula ndizi moja tu hadi anakufa kuna siku atatamani ndizi nyingine matoke au mshale ukigundua kala ndizi zingine mkanye iwe siri yako tena siri ya ndaniHabari wakuu,
Mimi ni ME, wiki chache zijazo natarajia kuingia katika ndoa, naomba wenye uzoefu na wanaofahamu mambo wanipe maneno ya hekima yatakayonisaidia kwenye maisha ya ndoa. Usiniambie kataa ndoa kwakua nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Point namba Saba nzurii Sana.....1. Hakikisha anafuata maelekezo unayompa.
2. Akutii kwa sababu wewe ni baba yake mpya.
3. Expect Less.
4. Timiza wajibu wako kama mwanaume.
5. Peleka moto vizuri (wahuni wapo kila mtaa, ni kama mawakala wa Tigo Pesa so ukilegea imekula kwako).
6. Usimchekee ovyo. Ajue kuwa kuna makosa akifanya baba Jane bye bye.
7. Ajue kuwa wewe ndiye uliyeishikilia hiyo ndoa na sio watu wa dini, wazee na watu wengine. She must know that your decision is the last.
8. Usimpe kila kitu anachotaka.
9. Mheshimu.
10. Tumia akili. Women are masters of illusion & manipulation so be care when you are going to deal with any case they present to you.
Mengine wataongezea walume ndago wengine.
Kwani maelekezo yake ni pointi ipi imeonesha mwanamke kaonewa?? Kapigwa? Au kafanyiwa uonevu? Au kifupi zaidi kipi kilichoongelewa na huyo bwana kimeonekana si haki?Ndoa ni kuoana watu wawili wenye haki sawa ndani ya ndoa
Ulichoandika ni mfumo.dume tu.kuanzia pointi ya kwanza hadi ya mwisho!!
Hiyo sio ndoa ni gereza ambalo.mwanamke anskuwa mfungwa na wewe mwanaume muoaji unakuwa Askari jela!!
Hizo pinti zako sio za kutumika kwa watu waliooana
Za waliooana zinasomeka mfano sio umuheshimu bali muheshimiane
Kila pointi inatakiwa I apply pande zote mbili kwa mpigo.Pointi zako zonalenga upande mmoja tu
Haki ni two way traffic sio one way trafficKwani maelekezo yake ni pointi ipi imeonesha mwanamke kaonewa?? Kapigwa? Au kafanyiwa uonevu? Au kifupi zaidi kipi kilichoongelewa na huyo bwana kimeonekana si haki?
Ah kwa hiyo unakubali kuwa ni kweli kuwa wake wengi watagegedwa tuu nje ya ndoa.Sasa wewe unachofanya ni kuhalaliaha hilo suala, yani ni jambo ambalo halikubaliki kwa namna yoyote. Mzabzab ungekua umeoa usingesema hayo maneno
Ya ukweli sanaNamba 12,nimeikubali bro!!!
Uoe utulie jamaa yangu, chagua mrembo unaempenda mlee watotoAh kwa hiyo unakubali kuwa ni kweli kuwa wake wengi watagegedwa tuu nje ya ndoa.
Sasa naoa kivipi wakati sifa kuu ya kuwa kwenye ndoa sina jameni😲😲😲
Mimi mzabzab kupenda mwanamke 🤣🤣🤣🤣 ebu kwanza nicheke🤣🤣🤣🤣Uoe utulie jamaa yangu, chagua mrembo unaempenda mlee watoto
Stay single as long as you can, the best advise can offer.Habari wakuu,
Mimi ni ME, wiki chache zijazo natarajia kuingia katika ndoa, naomba wenye uzoefu na wanaofahamu mambo wanipe maneno ya hekima yatakayonisaidia kwenye maisha ya ndoa. Usiniambie kataa ndoa kwakua nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.
Natanguliza shukran zangu za dhati.