The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Hakika.😂 😇na wakifika wote bas kutakuwa hakuna namna itabidi Demi ashuhudie tukioana....maana haiwezekani tukodi Nguo then zirudi bila matumizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika.😂 😇na wakifika wote bas kutakuwa hakuna namna itabidi Demi ashuhudie tukioana....maana haiwezekani tukodi Nguo then zirudi bila matumizi
Au sisi tutatangulia mapema kabisa ukumbini,mpaka wafike wahusika wataambiwa tu harusi imeshafanyika nyie wahudhuriaji mlichelewea wapi?😂 😇na wakifika wote bas kutakuwa hakuna namna itabidi Demi ashuhudie tukioana....maana haiwezekani tukodi Nguo then zirudi bila matumizi
Mkuu toka ulivyompiga yule Mwalimu wako basi umekua na mawazo ya kishari shari tu Eeeh!Kamatiya usalama nitakuwa mwenyewe,maana ndo kazi yangu nilipo huko,yeyote atakaye leta ugomvi lazima apigwe na wash ya shingo
Daah mkuu uwezi kimbia fani yakoMkuu toka ulivyompiga yule Mwalimu wako basi umekua na mawazo ya kishari shari tu Eeeh!
🤣
Kwani The Icebreaker mwenyewe anasemaje kuhusu hiloHa ha haa,ndo ivo kibarua utakuwa nacho siku hiyo
Nimemuachia mwanasheria wangu To yeye ndio ataamua kwa niaba yangu.Kwani The Icebreaker mwenyewe anasemaje kuhusu hilo
Ananongwa kwani,walaa The IcebreakerKwani The Icebreaker mwenyewe anasemaje kuhusu hilo
Akabanga ni nouma muzee.Mimi ni kamati ya zawadi nitabeba pilipili inayoitwa Akabanga kutoka Rwanda ambayo inaongeza nguvu, nitabeba pia maziwa ya inyange kutoka Rwanda ili unywe upate akili lakini pia nitabeba Wine tamu sana kutoka Rwanda inayoitwa AKARUSHO
View attachment 2406622
View attachment 2406623
View attachment 2406624
Basha wako katika Harusi yako alikuwepo?Mumeo Netanyahu atakuwepo?