Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni lesbian anataka kuolewaKumbe popoma ni me
Mi muda wote najuaga popoma ni ke.
Leo umejikamatisha Mwenyewe kila Siku huwa unajitapa / unajimwambafai hapa Jamiiforums kuwa unanijua na naishi Bunda Mkoani Mara ( Musoma ) halafu ni Mshamba mno sasa iweje tena Mtu uliyewaaminisha Watu ( Members ) hapa kuwa unanijua leo kumbe hata tu Jinsia yangu huijui?Kumbe popoma ni me
Mi muda wote najuaga popoma ni ke.
Na naahidi kamati ya michango inaanza kazi yake mara moja.😂😂financial services kamati ya michango
DeepPond M.C au [emoji23][emoji23]
@Nakadol na Sky Eclat mapambo
mzabzab na Zero IQ kamati ya vinywaji vinjwaji
@smart91 kugawa kadi
Mshana Jr mfungisha ndoa
Kenz mpiga matarumbeta kwenye umati wa watu
Extrovert mshauri na Saha
Bujibuji Simba Nyamaume huyu ahusike kugawa chakula amna namna
Liverpool VPN ahusike kuikataa ndoa ama kuangalia uhalali wa hiyo ndoa[emoji16]
johnthebaptist huyu kama jina lake ahusike kufuta viti kanisani ili waheshimiwa tuingie kushuhudia ndoa[emoji23]
MamaSamia2025 huyu ahusike kusambaza umbea na taharifa za ndoa mtaa kwa mtaa[emoji23]
Yule jamaa wa kula Tunda kimasihala awe KATIBU[emoji23][emoji23][emoji23] ataitendea haki nafasi yake ADHIMU[emoji23]
Wengine tutaangalia utaratibu siku nyingine jinsi gani mtaweza kupata nafasi[emoji23][emoji23] WANAKAMATI NAOMBA HILI NALO MKALITIZAME
Mmh mbona kama utakimbia na hela zetu[emoji23]Na naahidi kamati ya michango inaanza kazi yake mara moja.[emoji23][emoji23]
Umenitoa uaminifu mapema why😂😂 yaani nakusanya michango yote in 2022 then naiwekeza sehemu hadi ifike 2027 tutatumia faida kwenye sherehe mtaji unabaki😂Mmh mbona kama utakimbia na hela zetu[emoji23]
Ulaya ya Bukoba 😂😂Mimi ntatuma Mwakilishi maana 2027 nitakuwa bado sijarudi kutoka Ulaya
Sitaki Kuoa Mwanamke Great Thinker ( Mwerevu ) kwani tutashindwana na najijua Mwenyewe ila nitaoa hawa wa Kawaida tu ambao ninawamudu na Mabiti ( Mikwara ) yangu.Na vipi bibi harusi atatokea humu humu mkuu GENTAMYCINE ili iwe 100% party la JF ?
Dah ila na hiyo mikwara ilibidi umpate humu mnyooshane vizuri, ila fresh shughuli ni watu na watu ndiyo sisi tutakuja😀Sitaki Kuoa Mwanamke Great Thinker ( Mwerevu ) kwani tutashindwana na najijua Mwenyewe ila nitaoa hawa wa Kawaida tu ambao ninawamudu na Mabiti ( Mikwara ) yangu.
Nipo katika mipango ya kwenda kuchukua PHD hapo FranceUlaya ya Bukoba 😂😂
The true haya, sawa mkuu, huyo secretary atakuja na ile Range au utampa Bima(BMW)?Nipo katika mipango ya kwenda kuchukua PHD hapo France
Katika chuo kinaitwa Universitè de lettre Nice en France, so panapo uzima sitoweza kukatisha safari hii Adhimu na kurudi bongo sema ntamtuma secretary wangu Afike hapo
The true haya, sawa mkuu, huyo secretary atakuja na ile Range au utampa Bima(BMW)?
ewaaa....swali zuri.[emoji1787][emoji1787]Sijaelewa unatarajia kuolewa ama?
Sitaki Kuoa Mwanamke Great Thinker ( Mwerevu ) kwani tutashindwana na najijua Mwenyewe ila nitaoa hawa wa Kawaida tu ambao ninawamudu na Mabiti ( Mikwara ) yangu.