Natarajia kupata mtoto nje ya mke wangu

Natarajia kupata mtoto nje ya mke wangu

Tusitetee. Haya mambo ya ndoa ni magumu sana. Hata hatima yake inahitaji maamuzi magumu kweli kweli. Mbona yeye aliamua kumuumiza mmewe huku akijua anamuumiza. Ingawa hajaweka kisa chote, ebu fikiria km alinyimwa tendo la ndoa, maan hii ndo slaa kwa wanawake wengi kwa sasa na ndo maan ndoa zao zinakufa kila siku. Binafisi nipo upande wa mleta madam.
Ni upuuzi alioufanya,
 
Laki 4 au mill 4 kama ni laki 4 duuh umasikini unagonga hodi
yani vijana sijui wapoje nowdays[emoji53] yani 400k ndio unafurahi kabisa kuongeza watoto? tena nnje ya ndoa? si kujiongezea ufukara na kutesa watoto guys?[emoji26]

yani per month unaingiza 400k tu then unakuja kujitapa unazas nnje una wazimu we mtoto? anyway kupanga ni kuchagua
 
yani vijana sijui wapoje nowdays[emoji53] yani 400k ndio unafurahi kabisa kuongeza watoto? tena nnje ya ndoa? si kujiongezea ufukara na kutesa watoto guys?[emoji26]

yani per month unaingiza 400k tu then unakuja kujitapa unazas nnje una wazimu we mtoto? anyway kupanga ni kuchagua
Kwangu mimi naishi mwenyewe ila laki 4 ni pesa ya wiki mbili tu sina familia, mtoto, mke

Hata dem sina maana naona atanifilisi nashangaa mwenzangu laki 4 anaitambia ni masikitiko na utakuta anaishi dsm kwa maisha yalivyopanda bei hivi!
 
Back
Top Bottom