Natarajia kupata mtoto nje ya mke wangu

Natarajia kupata mtoto nje ya mke wangu

Ndo hivo imetokea japo sijutii kwasababu ya mgogoro wa hapo kipindi Cha nyuma ambapo ilinibidi kumtafuta wa kunipa furaha

Sasa baada ya wife kugundua nataka kuoa mwingine Basi akarudisha upendo na kuwa mpole japo mimi sikutaka Tena kuwa naye kwani stim zilishakata kwake

Akawa ananiomba niachane na huyu demu wa nje ila mimi nikamwambia anipe muda.

Imepita mwezi Sasa bado nipo na huyu mtoto wa kitanga ambaye ameuharibu moyo wangu,

Na dozi Nampa Kila siku jioni kabla sijafika home.

Sasa leo ndo hivo kaniambia imenasa

Anajua Nina mke na wife alishachukua namba na kumwambia aqchane na mimi lakini mtoto haambiliki

Kiujumla mimi Nina watoto 2 nimezaa na wife wangu.

Pia toka niwe na huyu demu nimekuwa na furaha moyoni mwangu pia nimefurahi kusikia hivo,

Picha linanza

Nimepanga

Kazi yangu ya kwa mwezi napata zaidi ya laki4 nimejiajiri. Huyu demu ni mfanyakazi japo kwao ameacha mtoto

Je? Nitatoboa kweli?

Na natamani wife ajue tu mapema ili awe na maamuzi ya kuendelea na mimi au ajikatae.View attachment 3166643
Tatizo mnakimbilia kuoa wakati akili bado hazijakomaaa
 
Ndo hivo imetokea japo sijutii kwasababu ya mgogoro wa hapo kipindi Cha nyuma ambapo ilinibidi kumtafuta wa kunipa furaha

Sasa baada ya wife kugundua nataka kuoa mwingine Basi akarudisha upendo na kuwa mpole japo mimi sikutaka Tena kuwa naye kwani stim zilishakata kwake

Akawa ananiomba niachane na huyu demu wa nje ila mimi nikamwambia anipe muda.

Imepita mwezi Sasa bado nipo na huyu mtoto wa kitanga ambaye ameuharibu moyo wangu,

Na dozi Nampa Kila siku jioni kabla sijafika home.

Sasa leo ndo hivo kaniambia imenasa

Anajua Nina mke na wife alishachukua namba na kumwambia aqchane na mimi lakini mtoto haambiliki

Kiujumla mimi Nina watoto 2 nimezaa na wife wangu.

Pia toka niwe na huyu demu nimekuwa na furaha moyoni mwangu pia nimefurahi kusikia hivo,

Picha linanza

Nimepanga

Kazi yangu ya kwa mwezi napata zaidi ya laki4 nimejiajiri. Huyu demu ni mfanyakazi japo kwao ameacha mtoto

Je? Nitatoboa kweli?

Na natamani wife ajue tu mapema ili awe na maamuzi ya kuendelea na mimi au ajikatae.View attachment 3166643
Ushalogwa tayari hizo si
Ndo hivo imetokea japo sijutii kwasababu ya mgogoro wa hapo kipindi Cha nyuma ambapo ilinibidi kumtafuta wa kunipa furaha

Sasa baada ya wife kugundua nataka kuoa mwingine Basi akarudisha upendo na kuwa mpole japo mimi sikutaka Tena kuwa naye kwani stim zilishakata kwake

Akawa ananiomba niachane na huyu demu wa nje ila mimi nikamwambia anipe muda.

Imepita mwezi Sasa bado nipo na huyu mtoto wa kitanga ambaye ameuharibu moyo wangu,

Na dozi Nampa Kila siku jioni kabla sijafika home.

Sasa leo ndo hivo kaniambia imenasa

Anajua Nina mke na wife alishachukua namba na kumwambia aqchane na mimi lakini mtoto haambiliki

Kiujumla mimi Nina watoto 2 nimezaa na wife wangu.

Pia toka niwe na huyu demu nimekuwa na furaha moyoni mwangu pia nimefurahi kusikia hivo,

Picha linanza

Nimepanga

Kazi yangu ya kwa mwezi napata zaidi ya laki4 nimejiajiri. Huyu demu ni mfanyakazi japo kwao ameacha mtoto

Je? Nitatoboa kweli?

Na natamani wife ajue tu mapema ili awe na maamuzi ya kuendelea na mimi au ajikatae.View attachment 3166643
Ushalogwa tayari hizo Sio Akili zako Na Huo Upendo Sio halisi ni wa madawa niulize Mimi naishi Tanga nawajua vizur watu wa huku ukichepuka Na mtanga lazima uvunje ndoa
 
Subiria Counteroffensive kutoka kwa mkeo.. Ngoja washirika wa mkeo wampe silaha za masafa marefu.. Uje ulie lie hapa..
 
Ukute uyo mwanamke nae ana jamaa ake anachepuka nae. Ukichepuka kwa mkeo nae ana mtu wake wa kuchepuka nae....😀😀tena hadi yas ukute kuna mchepuo unapewa
Dah tigo wamejitahidi kuwakwepa mko nao tu 😀
 
Kwa experience yangu na huo utoaji wa taarifa hapa ma babaz mpo si chini ya watatu pole sana na hongera sana
 
Kama jeuri hiyo ndio Sawa na Kwa sababu anaelewa uko na mwenzio ni wakati sahihi kumshirikisha matokeo ya jeuri yake kwa kumwambia ujio WA mwanao...
Wanaume wengi tumekuwa wajinga siku hizi Kwa kuendekeza mateso ya wanawake na matokeo yake ni kufupisha maisha yetu
 
Back
Top Bottom