Natarajia kupata mtoto nje ya mke wangu

Natarajia kupata mtoto nje ya mke wangu

400k, nyumba ya kupanga, watoto wawili na wanawake wawili. Hivi utaweza kweli kuhudumia hiyo familia kiongozi, au nyege zinakupelekesha tu?
 
Wewe huwezi kujua mtu anataka kusema nn mpaka atamke sio
Wewe unajuaje kama ni yako.
Utadandia mimba za watu.
Mimba haikubaliwi kiwepesi wepesi hivyo kwa mchepuko
 
Kuna kipindi niliwaza kama wewe, yaani niliona watoto nilionao bado nahitaji mmoja TENA wa nje, japo sikuwa na mgogoro wowote ndani ila nilifikiri ni muhimu kuchanganya damu, bahati mbaya na nasema bahati mbaya haikuwa. Mwisho wa siku mpango ukayeyuka na sidhani tena, umri huu kuzaa tena ni kutafuta kulea ukiwa mzee.
Babu Grahams hebu ukuje, hii kesi nzito sana.
 
Ndo hivo imetokea japo sijutii kwasababu ya mgogoro wa hapo kipindi Cha nyuma ambapo ilinibidi kumtafuta wa kunipa furaha

Sasa baada ya wife kugundua nataka kuoa mwingine Basi akarudisha upendo na kuwa mpole japo mimi sikutaka Tena kuwa naye kwani stim zilishakata kwake

Akawa ananiomba niachane na huyu demu wa nje ila mimi nikamwambia anipe muda.

Imepita mwezi Sasa bado nipo na huyu mtoto wa kitanga ambaye ameuharibu moyo wangu,

Na dozi Nampa Kila siku jioni kabla sijafika home.

Sasa leo ndo hivo kaniambia imenasa

Anajua Nina mke na wife alishachukua namba na kumwambia aqchane na mimi lakini mtoto haambiliki

Kiujumla mimi Nina watoto 2 nimezaa na wife wangu.

Pia toka niwe na huyu demu nimekuwa na furaha moyoni mwangu pia nimefurahi kusikia hivo,

Picha linanza

Nimepanga

Kazi yangu ya kwa mwezi napata zaidi ya laki4 nimejiajiri. Huyu demu ni mfanyakazi japo kwao ameacha mtoto

Je? Nitatoboa kweli?

Na natamani wife ajue tu mapema ili awe na maamuzi ya kuendelea na mimi au ajikatae.View attachment 3166643
subiri kidogo waifu naye ataleta mtoto wa nje
 
Kazi yangu ya kwa mwezi napata zaidi ya laki4 nimejiajiri. Huyu demu ni mfanyakazi japo kwao ameacha mtoto

Kipato chenyewe duni pangu pakavu tia mchuzi lakini bado unaendekeza kudinyana hovyo...

Una uhakika huyo mtoto ni wako au unaamini vya kuambiwa tu?
 
Mke wako aamue kuondoka 😏...halafu muanze kutesa hao watoto 2...

Jinga sana wewe....

hyo furaha haitodumu milele utakuja kujitwisha mikono kichwani.
 
Already in trapped with the single mothers be careful ucmkaange mkeo kisa huyo single mum
 
Una uhakika tatizo ni mimi?
Wewe! Si ndio nimekuta unaconfess kuwa ulitaka kuchepukaπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
 
Wewe! Si ndio nimekuta unaconfess kuwa ulitaka kuchepukaπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
Asili ya mwanaume, hawezi kuwa na mwanamke mmoja.
 
Babu Grahams hebu ukuje, hii kesi nzito sana.
Hahaha..................Mzee mwenzangu ameamua kumwaga Siri ya kambi 😜

Unajua miaka ya zamani kutokana na uduni wa huduma za afya.

Ilishauriwa tujaribu kuzaa watoto Kwa Mama tofauti ili kama kutakuwa na tatizo hasa la kiafya Kwa Mama mmoja asirithishe Kwa watoto wengine.

Japo haya mambo tuliyafanya Siri sana yasijulikane, maana Watoto wa nje wa Mzee ERoni lazima wangefanana na Watoto wake ndani ya ndoa

Ili Kutuliza migogoro ndani ya ndoa, Wazee tuliamua kuja na misemo kwamba;

Mama Mjamzito akimchukia Mzee ERoni lazima atazaa watoto watakaofanana naye 😜

Vile vile msemo wa kusema Kitanda hakizai haramu πŸ™Œ
 
Hahaha..................Mzee mwenzangu ameamua kumwaga Siri ya kambi 😜

Unajua miaka ya zamani kutokana na uduni wa huduma za afya.

Ilishauriwa tujaribu kuzaa watoto Kwa Mama tofauti ili kama kutakuwa na tatizo hasa la kiafya Kwa Mama mmoja asirithishe Kwa watoto wengine.

Japo haya mambo tuliyafanya Siri sana yasijulikane, maana Watoto wa nje wa Mzee ERoni lazima wangefanana na Watoto wake ndani ya ndoa

Ili Kutuliza migogoro ndani ya ndoa, Wazee tuliamua kuja na misemo kwamba;

Mama Mjamzito akimchukia Mzee ERoni lazima atazaa watoto watakaofanana naye 😜

Vile vile msemo wa kusema Kitanda hakizai haramu πŸ™Œ
Kwahiyo babu unataka kusemaje?
 
Asili ya mwanaume, hawezi kuwa na mwanamke mmoja.
Hii kauli naihifadhi, soon nitaitumia.

Tena unasema kabisa "bahati mbaya"πŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
Hiiii bagosha!
 
Yaan unaingiza laki 4 kwa mwezi na bado unaongeza mwanamke tena?...kuna watu mna roho ngumu sana aisee[emoji1787]
 
Hii kauli naihifadhi, soon nitaitumia.

Tena unasema kabisa "bahati mbaya"πŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
Hiiii bagosha!
Huwezi kuelewa...
 
Mkuu umengoja mpaka mke akusumbue ndo uzae nje???.kuzaa nje ni jambo la maingi na la muhimu ...
Babu yangu alisema..'zaa angalau mtoto mmoja nje,ataokoa jahazi ikiwa hao watoto wa ndani wakibeba tibia mbaya za kwa wajomba zao"
 
Back
Top Bottom