Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma draw 🤣🤣🤣🤣Unapata mtoto wa nje, jiandae mkeo atakuletea mtoto wa nje, ndani ya ndoa.
Watu wanajasiria400,000
Kodi 50000, Msosi? Umeme? Akiba? Matibabu? Mchepuko? Mke? Watoto wawili & mimba 🧐Watu wanajasiria
Hiyo sio point kiongoz, m.ke kutoka nje kisa anamkomoa mwanaum anajidanganya, anajikomoa mwenyww na sana sana anakomoa uchi wakeSasa Mkuu Kwa kipato hicho cha laki 4 ndiyo utaweza kuhudumia wake wawili Kwa pamoja?
Ni kweli Kuna wakati Wake zetu hutuudhi na kutukera, lakini umejiuliza naye umemuudhi na kumkera mara ngapi?
Vipi naye akiamua kumbebea mimba Mwanaume mwingine huko nje kisha akakuletea wewe ndani ulee?
Maamuzi ni yako Mkuu, utakapofikishwa ustawi wa jamii Kwa kushindwa kutoa hela ya matunzo ya watoto, ndiyo utaelewa uzito wa hayo uliyofanya
Hana huo uwezo kwani najua kwake sina mpango wa kuongeza mtoto mwingineLazima alipize
Kuna jamaa yangu mmoja aliotoka nje ya ndoa mara nyingi tu aliuza mechi yule shemeji akafanya fumanizi zito na mimi nikashindwa kutetea ila tukaitwa kwenye kikao cha usuluhishi mambo yakaenda vizuri lakini yule shemeji akaomba atoe neno mbele ya baba mkwe mama mkwe mashemeji na wazee fulani hivi
Akasema nafurahi mmeitikia wito na kusuluhisha huu ugomvi na mimi nimekabali ameokosea ila kauli yangu ni moja tu akae akijua akilalal akiamka au akiwa kazini au hapa nyumbani lazima nilipize na kweli yule shemeji alifanya tukio zito sana aliuza mechi hovyo hovyo kama mbwa na akiwa na watoto wakubwa umri 18+
Na ndoa ilivunjika hata majivu hyakubaki
Zingatia hilo lazima akulipizie tena vibaya mno
Ni upuuzi kumuumiza mtu kwa makusudi huku ukimuonesha wazi na wewe ukijua fika kua anaumia na kukusihi uache kumuumiza.Lazima alipize
Kuna jamaa yangu mmoja aliotoka nje ya ndoa mara nyingi tu aliuza mechi yule shemeji akafanya fumanizi zito na mimi nikashindwa kutetea ila tukaitwa kwenye kikao cha usuluhishi mambo yakaenda vizuri lakini yule shemeji akaomba atoe neno mbele ya baba mkwe mama mkwe mashemeji na wazee fulani hivi
Akasema nafurahi mmeitikia wito na kusuluhisha huu ugomvi na mimi nimekabali ameokosea ila kauli yangu ni moja tu akae akijua akilalal akiamka au akiwa kazini au hapa nyumbani lazima nilipize na kweli yule shemeji alifanya tukio zito sana aliuza mechi hovyo hovyo kama mbwa na akiwa na watoto wakubwa umri 18+
Na ndoa ilivunjika hata majivu hyakubaki
Zingatia hilo lazima akulipizie tena vibaya mno