Natarajia kupata mtoto nje ya mke wangu

Natarajia kupata mtoto nje ya mke wangu

Kama mkeo ni mjeuri, it's okay, nadhani mnafahamiana vizuri 😎🤝
Wanaume sikuhizi tunateswa sana ila ndo hivo ukiamua kupiga jamii haita kuelewa hivo tunapiga kwa wireless tu
 
Sasa Mkuu Kwa kipato hicho cha laki 4 ndiyo utaweza kuhudumia wake wawili Kwa pamoja?

Ni kweli Kuna wakati Wake zetu hutuudhi na kutukera, lakini umejiuliza naye umemuudhi na kumkera mara ngapi?

Vipi naye akiamua kumbebea mimba Mwanaume mwingine huko nje kisha akakuletea wewe ndani ulee?

Maamuzi ni yako Mkuu, utakapofikishwa ustawi wa jamii Kwa kushindwa kutoa hela ya matunzo ya watoto, ndiyo utaelewa uzito wa hayo uliyofanya
 
Kuliko kuchepuka bora umuoe uwe una wke wawili,
Shida ina kuja ukute ww sio muislam,
Basi endelea kuchepuka t maana huruhusiw kuwa na mke mwengine.
 
Lazima alipize

Kuna jamaa yangu mmoja aliotoka nje ya ndoa mara nyingi tu aliuza mechi yule shemeji akafanya fumanizi zito na mimi nikashindwa kutetea ila tukaitwa kwenye kikao cha usuluhishi mambo yakaenda vizuri lakini yule shemeji akaomba atoe neno mbele ya baba mkwe mama mkwe mashemeji na wazee fulani hivi
Akasema nafurahi mmeitikia wito na kusuluhisha huu ugomvi na mimi nimekabali ameokosea ila kauli yangu ni moja tu akae akijua akilalal akiamka au akiwa kazini au hapa nyumbani lazima nilipize na kweli yule shemeji alifanya tukio zito sana aliuza mechi hovyo hovyo kama mbwa na akiwa na watoto wakubwa umri 18+
Na ndoa ilivunjika hata majivu hyakubaki
Zingatia hilo lazima akulipizie tena vibaya mno
 
Sasa Mkuu Kwa kipato hicho cha laki 4 ndiyo utaweza kuhudumia wake wawili Kwa pamoja?

Ni kweli Kuna wakati Wake zetu hutuudhi na kutukera, lakini umejiuliza naye umemuudhi na kumkera mara ngapi?

Vipi naye akiamua kumbebea mimba Mwanaume mwingine huko nje kisha akakuletea wewe ndani ulee?

Maamuzi ni yako Mkuu, utakapofikishwa ustawi wa jamii Kwa kushindwa kutoa hela ya matunzo ya watoto, ndiyo utaelewa uzito wa hayo uliyofanya
Hiyo sio point kiongoz, m.ke kutoka nje kisa anamkomoa mwanaum anajidanganya, anajikomoa mwenyww na sana sana anakomoa uchi wake
 
A
Lazima alipize

Kuna jamaa yangu mmoja aliotoka nje ya ndoa mara nyingi tu aliuza mechi yule shemeji akafanya fumanizi zito na mimi nikashindwa kutetea ila tukaitwa kwenye kikao cha usuluhishi mambo yakaenda vizuri lakini yule shemeji akaomba atoe neno mbele ya baba mkwe mama mkwe mashemeji na wazee fulani hivi
Akasema nafurahi mmeitikia wito na kusuluhisha huu ugomvi na mimi nimekabali ameokosea ila kauli yangu ni moja tu akae akijua akilalal akiamka au akiwa kazini au hapa nyumbani lazima nilipize na kweli yule shemeji alifanya tukio zito sana aliuza mechi hovyo hovyo kama mbwa na akiwa na watoto wakubwa umri 18+
Na ndoa ilivunjika hata majivu hyakubaki
Zingatia hilo lazima akulipizie tena vibaya mno
Hana huo uwezo kwani najua kwake sina mpango wa kuongeza mtoto mwingine
 
Lazima alipize

Kuna jamaa yangu mmoja aliotoka nje ya ndoa mara nyingi tu aliuza mechi yule shemeji akafanya fumanizi zito na mimi nikashindwa kutetea ila tukaitwa kwenye kikao cha usuluhishi mambo yakaenda vizuri lakini yule shemeji akaomba atoe neno mbele ya baba mkwe mama mkwe mashemeji na wazee fulani hivi
Akasema nafurahi mmeitikia wito na kusuluhisha huu ugomvi na mimi nimekabali ameokosea ila kauli yangu ni moja tu akae akijua akilalal akiamka au akiwa kazini au hapa nyumbani lazima nilipize na kweli yule shemeji alifanya tukio zito sana aliuza mechi hovyo hovyo kama mbwa na akiwa na watoto wakubwa umri 18+
Na ndoa ilivunjika hata majivu hyakubaki
Zingatia hilo lazima akulipizie tena vibaya mno
Ni upuuzi kumuumiza mtu kwa makusudi huku ukimuonesha wazi na wewe ukijua fika kua anaumia na kukusihi uache kumuumiza.
 
Well done. Kuna watu wanakponda, lakini kitanda usichokilalia huwezi kujua kunguni wake. Kwa waliooa na wamebahatika kukutana na changamoto ndogo ndogo za kusolve na kuisha, wamshukuru sn Mungu.

Nilichokiona kwako ni kuwa haukuwa tayari kuachana na mkeo mbali ya maudhi na karaha zake, ndo maana uliamua kutafuta sehemu ya kupumzisha akili, kitu ambacho ni cha kawaida kwa wanaume, wengine huamua kunywa pombe kupindukia, kuvuta bangi, kutoweka nyumbani na kwenda kusikojulikana au kujinyonga, Ila wewe uliamua kuipata fraha bila kuathiri familia yako au ndugu zako. Kilichotokea ktk kutafuta fraha yako sioni sababu ya kukijutia wala watu kukulaumu maana surely lengo lako halikuwa Kupata mtoto nje ya ndoa. Sasa imeshatokea utafanya nini sasa zaidi ya kulea mimba yako na ikiwezekana muoe kabisa. Always jeuri ya mwanamke ni mwanamke mwenzie.

Kuna wanawake wengine wakiona wanapendwa sana na wala hauna mishe na wadada wa kitaa huwa jeuri sana wakidhani ulipata bahati ya mtende kumpata yeye.

Once again, well done. Na hongera kukubari hiyo mimba maana una uhakika nayo mwenyewe.
 
Back
Top Bottom