Natarajia kupata mtoto nje ya mke wangu

Natarajia kupata mtoto nje ya mke wangu

Ndo hivo imetokea japo sijutii kwasababu ya mgogoro wa hapo kipindi Cha nyuma ambapo ilinibidi kumtafuta wa kunipa furaha

Sasa baada ya wife kugundua nataka kuoa mwingine Basi akarudisha upendo na kuwa mpole japo mimi sikutaka Tena kuwa naye kwani stim zilishakata kwake

Akawa ananiomba niachane na huyu demu wa nje ila mimi nikamwambia anipe muda.

Imepita mwezi Sasa bado nipo na huyu mtoto wa kitanga ambaye ameuharibu moyo wangu,

Na dozi Nampa Kila siku jioni kabla sijafika home.

Sasa leo ndo hivo kaniambia imenasa

Anajua Nina mke na wife alishachukua namba na kumwambia aqchane na mimi lakini mtoto haambiliki

Kiujumla mimi Nina watoto 2 nimezaa na wife wangu.

Pia toka niwe na huyu demu nimekuwa na furaha moyoni mwangu pia nimefurahi kusikia hivo,

Picha linanza

Nimepanga

Kazi yangu ya kwa mwezi napata zaidi ya laki4 nimejiajiri. Huyu demu ni mfanyakazi japo kwao ameacha mtoto

Je? Nitatoboa kweli?

Na natamani wife ajue tu mapema ili awe na maamuzi ya kuendelea na mimi au ajikatae.View attachment 3166643
Kila mchuma janga ....
 
Ni upuuzi kumuumiza mtu kwa makusudi huku ukimuonesha wazi na wewe ukijua fika kua anaumia na kukusihi uache kumuumiza.
Tusitetee. Haya mambo ya ndoa ni magumu sana. Hata hatima yake inahitaji maamuzi magumu kweli kweli. Mbona yeye aliamua kumuumiza mmewe huku akijua anamuumiza. Ingawa hajaweka kisa chote, ebu fikiria km alinyimwa tendo la ndoa, maan hii ndo slaa kwa wanawake wengi kwa sasa na ndo maan ndoa zao zinakufa kila siku. Binafisi nipo upande wa mleta madam.
 
Ndo hivo imetokea japo sijutii kwasababu ya mgogoro wa hapo kipindi Cha nyuma ambapo ilinibidi kumtafuta wa kunipa furaha

Sasa baada ya wife kugundua nataka kuoa mwingine Basi akarudisha upendo na kuwa mpole japo mimi sikutaka Tena kuwa naye kwani stim zilishakata kwake

Akawa ananiomba niachane na huyu demu wa nje ila mimi nikamwambia anipe muda.

Imepita mwezi Sasa bado nipo na huyu mtoto wa kitanga ambaye ameuharibu moyo wangu,

Na dozi Nampa Kila siku jioni kabla sijafika home.

Sasa leo ndo hivo kaniambia imenasa

Anajua Nina mke na wife alishachukua namba na kumwambia aqchane na mimi lakini mtoto haambiliki

Kiujumla mimi Nina watoto 2 nimezaa na wife wangu.

Pia toka niwe na huyu demu nimekuwa na furaha moyoni mwangu pia nimefurahi kusikia hivo,

Picha linanza

Nimepanga

Kazi yangu ya kwa mwezi napata zaidi ya laki4 nimejiajiri. Huyu demu ni mfanyakazi japo kwao ameacha mtoto

Je? Nitatoboa kweli?

Na natamani wife ajue tu mapema ili awe na maamuzi ya kuendelea na mimi au ajikatae.View attachment 3166643
 
Heri yangu ambaye kama mambo hayataharibika sana, mpaka kufika mwezi wa 7 mwakan, nitaka na watoto sita, Kila mtoto na mama yake.


Lengo langu niwe nao tu Kwa kadiri itakavyowezekana.

Hata hivo nazingatia sana kuzaa na wenye Shughuli zao ili kubalance mambo.
 
Huo mtirirko wa text n kama haushiki dishi vzuri, n kama vile mtu anajiuliza swali then anajijibu.
Anyway, utajimada mwenyewe. Mambo ya mapenz hatushauri siku hizi maana tunafurahia mkirudi na nyuzi za machungu baada ya kushupaza komwe
Vijana wa JF huwa wanajiandikia sms na kujijibu wenyewe then wanaleta humu JF. Kuna msukuma mmoja kule kwenye uzi wa kula tunda kimasihara anaitwa Carlos The Jackal alikuwa anawadanganya sana wenzake kwa kujiandikia na kujijibu sms na jamaa wakamuiga mwishowe akashtakiwa na mke wa mtu.

JF ni ya kwenda nayo taratibu sana. Kila kitu ni fake humu.
 
Kama kwako kuna malisho ya majani mabichi na maji wife wako hatoki mwanangu. Huyo demu wako naye kakuganda habanduki. Ina maana sasa una wake wawili ujue, labda mmoja ajikate kislesi aampishe mwenzake au wabanane kwako daima
 
Vijana wa JF huwa wanajiandikia sms na kujijibu wenyewe then wanaleta humu JF. Kuna msukuma mmoja kule kwenye uzi wa kula tunda kimasihara anaitwa Carlos The Jackal alikuwa anawadanganya sana wenzake kwa kujiandikia na kujijibu sms na jamaa wakamuiga mwishowe akashtakiwa na mke wa mtu.

JF ni ya kwenda nayo taratibu sana. Kila kitu ni fake humu.
vipi Mkuu
 
Ndo hivo imetokea japo sijutii kwasababu ya mgogoro wa hapo kipindi Cha nyuma ambapo ilinibidi kumtafuta wa kunipa furaha

Sasa baada ya wife kugundua nataka kuoa mwingine Basi akarudisha upendo na kuwa mpole japo mimi sikutaka Tena kuwa naye kwani stim zilishakata kwake

Akawa ananiomba niachane na huyu demu wa nje ila mimi nikamwambia anipe muda.

Imepita mwezi Sasa bado nipo na huyu mtoto wa kitanga ambaye ameuharibu moyo wangu,

Na dozi Nampa Kila siku jioni kabla sijafika home.

Sasa leo ndo hivo kaniambia imenasa

Anajua Nina mke na wife alishachukua namba na kumwambia aqchane na mimi lakini mtoto haambiliki

Kiujumla mimi Nina watoto 2 nimezaa na wife wangu.

Pia toka niwe na huyu demu nimekuwa na furaha moyoni mwangu pia nimefurahi kusikia hivo,

Picha linanza

Nimepanga

Kazi yangu ya kwa mwezi napata zaidi ya laki4 nimejiajiri. Huyu demu ni mfanyakazi japo kwao ameacha mtoto

Je? Nitatoboa kweli?

Na natamani wife ajue tu mapema ili awe na maamuzi ya kuendelea na mimi au ajikatae.View attachment 3166643
Wanawake wote wazuri mwanzoni
 
Una kipato kidogo hivyo,nyege za kutia mademu hovyo bila ndom unazitoa wapi?
 
Yeye hajakuambiaa kuwa anamimba yako
Naona ww ndo umejifunga vizuri
 
Ukute uyo mwanamke nae ana jamaa ake anachepuka nae. Ukichepuka kwa mkeo nae ana mtu wake wa kuchepuka nae....😀😀tena hadi yas ukute kuna mchepuo unapewa
 
Back
Top Bottom